Kiwanja kinauzwa kiluvya kwa Komba

Kiwanja kinauzwa kiluvya kwa Komba

Pionaire

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
1,595
Reaction score
1,135
HABARI wana JF,Kama nilivyosema hapo juu nauza kiwanja kipo maeneo ya kiluvya kwa komba,Chenye UREFU:hatua 46 na UPANA: hatua 20...na kipo mita 90 kutokea morogoro road,pia eneo lina upatikanaji wa maji...hivyo linafaa sana kwa biashara ya ufyatuaji wa matofali kama hauko vizuri kwa ujenzi wa makazi kwa sasa,eneo lipo tambalale na limejengwa chumba kimoja,Bei yake ni mil.9...maongezi yapo pia,KWA ATAKAYEHITAJI TUWASILIANE KWA ''0712269097'' asanteni.
 
Kwa atakayehitaji eneo bado lipo...karibu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom