Kuna Land Rover o
One Ten ya mwaka 87 ilikuwa inauzwa 12mil....sijui kama bado ipo.
Samahani lakini mleta mada,Ningependa kujua kwanini hizi gari pamoja nakuwa old model lakin bei zake zinakuwa juu??...Huwa mnaenda kufanyia kazi gani??..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.