Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,595
- 1,135
Habari wana JF, nauza kiwanja kipo maeneo ya njia panda mji wa himo-Kilimanjaro,"Kiwanja No.116","Kitalu F". Kina UREFU:hatua 50 na UPANA:hatua 25,huduma ya maji na umeme inapatikana bila tatizo,hakina vilima kipo tambalale na kipo umbali wa mita 80 kutokea barabara kubwa ya mikoani na eneo limechangamka hivyo linafaa kwa biashara maana lipo opposite na stendi ya mabus,sheli na kuna soko kubwa tu pale na pia umbali kama wa mita 20 ivi kutokea kilipo kuna bank inajengwa maeneo yale,bei ni mil.15/= maelewano yapo pia,kwa atakayehitaji anitafute kwa "0712269097"...
Asanteni.
Asanteni.