Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa wanawake na wanaume, S&E BEAUTY SOLUTIONS ndio jibu lako. Inatolewa huduma ya ushauri wa kitaalam (Consultancy) na kutatua matatizo ya Ngozi na mwili kwa ujumla yanayoharibu muonekano, urembo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wanawake na wanaume, S&E BEAUTY SOLUTIONS ndio jibu lako. Inatolewa huduma ya ushauri wa kitaalam (Consultancy) na kutatua matatizo ya Ngozi na mwili kwa ujumla yanayoharibu muonekano, urembo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Niko Dar nataka kununua BMW 3 series sec hand yenye hali nzuri iwe silver, mileage not more than 50,000,petrol, 2000 cc ya mwaka 2003/2004.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tunaomba msaada kwa yeyote anayeweza kutusaidia kwa namna yeyote ile kufanikisha kupata godown mwanza mjini kenyata road au igogo au karibu na mjini pia ikiwezekana liwe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Turbo ya iveco stralis 435 inauzwa kwa 8milion call 0769038065
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1999 Toyota Alteeza inauzwa. Gari linatembea na liko kwenye hali nzuri. Limetembea km 98,000. Road license imelipiwa. Gari ipo Dar es salaam. Bei ni shilingi milioni 11 .
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji external hard disk yenye latest movies na series. Budget 150K. Ni pm
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta Wakala anayeuza vingamuzi vya azam kuanzia Mwenge mpaka Tegeta
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Limeagizwa kutoka japani engine ya diesel cc 2000 4wd body ndefu nzuri kwa kubeba mzgo bei ni 20,000,000 tsh kwamaleze zaidi piga 0714401390
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau wa ujenzi wanaojenga Kinyerezi na maeneo jirani na wanaopendelea mabati yenye migongo mipana nawaarifu kuwa mimi nilinunua mabati lakini hesabu niliyopewa na fundi ikasababisha mabati yazidi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nahitaji kiwanja maeneo ya Bomang'ombe Moshi kama kuna mtu anauza anijuze tafadhali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza CD tajwa hapo juu ni DVD zenye ukubwa wa 4.7 GB Zipo 3000 zote naziuza kwa 1m 0714547830 whatsap 0652871546 SMS and call
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Tunatengeneza Dreids na Natural hair twist,popote ulipo tunakufata piga simu namba 0689494232kujua bei na kufanya appointment, Tupo Dsm mikoani pia tunaenda.
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Nauza cm tajwa hapo juu sg 5301 Nipo mbezi mwisho dsm Contact 0758293598
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta wateja wa kununua copper wire kwa kupima kilo pamoja na kuuza kwa mita nipo geita
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ardhi tupu ekari 1000 zinauzwa @140000/= Zipo wilayani Mufindi umbali WA kilomita 70 kutoka Mafinga mjini. Pia ardhi ekari 30 zenye miti aina ya pine zinauzwa( miti INA umri WA miaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa, Mimi natengeneza tshrt zenye logo mbalimbali natafta wenye maduka ya nguo na bidhaa za urembo kutoka mikoa tofaut ili nifanye nao kazi.Kwa watakaopenda kufanya biashara na mimi...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Epuka sana njia na vipodozi visivyo salama na vilivyopigwa marufuku na mamlaka ya chakula na dawa Tanzania (TFDA) maana vitakuletea matatizo mbali mbali ya afya kama vile kansa, allergy, ngozi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Shamba lenye ukubwa wa eka 8 linauzwa being Cher. Mawasilianoi zaid 0773211553
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Maelezo: Eneo liko umbali wa kilomita 40 kutoka Kigamboni. Eneo ni zuri: tambarare,pana rutuba,pana maji yasiyo na chumvi.Panafaa kwa makazi, ufugaji na kilimo. Panafikika kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom