Ninauza htc one M7 used with camera issue kwa bei ya laki mbili tu. Ninaiuza bei chee sababu kwenye giza camera yake ya nyuma inakuwa na rangi ya pink.Tofauti na hapo simu iko safi na iko intact...
Habari zenu
kama kichwa cha habari kinavyo sema,natafuta power benk kwa anae uza bei ya jumla .Zianzie 8000mah na kuendelewa. ANAYE UZA ANI PM.
ASANTENI
Upande unapangishwa,vyumba viwili vya kulala kimoja kina master,choo cha public. kuna jiko la ndani na luku inajitegemea kodi kwa mwezi laki mbili na nusu. Ina takiwa kodi ya mwaka hadi miezi 10...
habar ndg za mapumziko, napenda chuku fulsa
hii kuwaomba ndg jamaa rafik pia, mm ni dereva
nmekuja kwenu najua kuna naweza pata msaada.
km kuna m2 anaweza nikabidh gar nikamletea
hesabu...
piga simu au sms 0784258125
isiwe copy/fake
isiwe na scratches
iwe imetumika kidogo
iwe na accessories zake
rangi yeyote ila nyeupe itapewa kipaumbele.
Tv ya nchi 21 inahitajika..
Iwe nzima kabisa na iwe inaonesha kwa clarity nzuri, maana'ke yabidi iwekwe salon ambamo itakuwa ON kwa masaa mengi kwa siku.
Bajeti ni 70,000/=
Asalaam wana jukwaa, natafuta gari Toyota IST namba C au D iwe kwenye hali nzuri na isiwe na tatizo lolote. bajeti yangu haizidi milioni nane. kama unayo nicheki kupitia 0654209804
NZDUSD = Buy
NZDJPY = Buy
NZDCAD = Buy
NZDCHF = Buy
EURNZD = Sell
GBPNZD = Sell
AUDNZD = Sell
NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of 200...
Naitaji bajaji hasa ya abiria used kidogo nikupe kiwanja high density kilichopo shinyanga mjini papale,kilishapimwa hati bado. Mimi siishi huko tena ,aliye seious ani PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.