Wakuu habari za jioni,
Natafuta mashamba ya kununua kwa bei poa, maeneo ya Kibaha au Mkuranga.
Mashamba sharti yawe tambarare na ukubwa usiopungu hekari 30 kwa jumla.
Sihitaji mashamba yenye tittle ya serikali laikini pia sihitaji yenye mgogoro.
Mauziano yatafanyika kwenye ofisi ya serikali za mtaa husika au mahakamani.
Kwa yeyote mwenye information tafadhali ni pm namba yako kwa mawasiliano zaidi.
Natafuta mashamba ya kununua kwa bei poa, maeneo ya Kibaha au Mkuranga.
Mashamba sharti yawe tambarare na ukubwa usiopungu hekari 30 kwa jumla.
Sihitaji mashamba yenye tittle ya serikali laikini pia sihitaji yenye mgogoro.
Mauziano yatafanyika kwenye ofisi ya serikali za mtaa husika au mahakamani.
Kwa yeyote mwenye information tafadhali ni pm namba yako kwa mawasiliano zaidi.