Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta Samsung note 1 iwe katika Hali nzuri scratch kwenye kioo zisiwepo na body liwe katika Hali nzuri tupia hapa bei maelewano
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari! nauza shamba,liko kijiji cha kisande wilaya ya kondoa, lina ukubwa wa eka 5 linafaa kwa kilimo cha mahindi,vitunguu,alizeti na mazao mengine. bei ni 300,000 kwa eka.karibuni.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mwenye TV tajwa hapo juu, Isiwe na tatizo lolote , Na unipe warranty ya MIEZI kadhaa kudhihirisha una imani Na TV yako. Bajeti ni 160,000/=, Pia twaweza kuzungumza. NIPM AU WEKA NUMBER...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
natafuta smartphone ya laini 2 iwe inafanya kazi freshandroid kama ipo nicheki 0719908742
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Nahitaji hizi type writing machine zile model za zamani, nahitaji kama 30 hivi. 0715812160
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Lipo makurunge km 3 toka barabarani unanunua bei 1,500,000 kwa kila heka maongezi yapo kama uko yayari tuwasiliane pm
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Lipo kama kama 2.5 toka Barbara kubwa ni eka 2 kila eka mil 2 zote eka 2 ni mil 4. Nicheki 0784791233
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Kuna anayejua wapi wanapatikana African Grey Parrots? Please tufahamishane tafadhali na bei zikoje.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
core i5 au i7 Iwe in excellent conditions ram 4gb na graphic card kuanzia 2gb na charge 3hrs minimum. Nicheki 0688206680 bajeti laki 5 . Nipo Dar isiwe na tatizo.
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Wakuu moja kati ya simu zifuatazo HTC M7, SAMSUNG NOTE 2, IPHONE 4S zote ziwe used na zipo in good condition, mwenye simu yoyote kati ya hizo anipm au aweke contact zake
0 Reactions
1 Replies
1K Views
IPO maeneo ya kinyerezi.kodi laki mbili na nusu kwa mwenzi .kwa maelezo zaidi pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UNAIFAHAMU ANGELLIFE STYLE!!? habari zenu wanajamvi kuna fursa nimeiona kutoka kwa angelyf style na nimependa kushare na nyie vjana wenzangu ambao tunahangaika na kutafuta ajira.ni biashara ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nipo Mwanza na kama una pikipiki ziwe na hali nzuri na zinatembea unauza kwa bei hiyo . Basi call/ text 0756 442366 or 0673 442366, kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani kwa yule ambae anataka kupauwa nyumba yake basi achague mabati ya ANDO
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Zebaki au Mercury nyeupe zinapatikana, nyekundu zipo ila zinapatikana kwa taabu na ni ghali sana. Kama unauhitaji au una mtu anahitaji. Nicheki apa 0755 927881..!!(whassapp)
0 Reactions
6 Replies
6K Views
EE BWANA mimi ni mfugaji wa kuku kibamba [kuku wa mayai] nahitaji cages kwa ajili ya kuku wangu [2500]. ningependa kujua nitapata cage wapi na kwa bei gani hapa Dar hata nikipata mafundi bora wa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Natafuta engine ya Noah used Kwa bei ambayo nzuri nipo Dar. Yeyote nicheki 0784791233.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji desktop computer iwe na monitor yake. Kwa yeyote aliyonayo anicheki Kwa 0713791233 na kunitumia Picha Whasp 0765791233.
0 Reactions
2 Replies
847 Views
Nauza nokia 311 inafanya kazi fresh niyakubadilisha housing sababu imechoka kiasi. Kama unaitaka nicheki 0757227796
0 Reactions
0 Replies
724 Views
mwenye nayo anipm fasta
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom