PLATO MAGELE
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 203
- 54
Nyie wote hivi,waalim wenu wa somo la kiswahili sijui kama mliwaelewa.
Hasa katika kipengele cha kusoma story kisha unaambiwa andika kichwa cha habari cha story husika.
Msigombane,wote mnapigia debe kitu kimoja