Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habar ndg za mapumziko, napenda chuku fulsa hii kuwaomba ndg jamaa rafik pia, mm ni dereva nmekuja kwenu najua kuna naweza pata msaada. km kuna m2 anaweza nikabidh gar nikamletea hesabu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau natafuta gari aina ya TOYOTA IST ya thamani isiyo zidi milioni 6. iwe kwenye hali nzuri.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
piga simu au sms 0784258125 isiwe copy/fake isiwe na scratches iwe imetumika kidogo iwe na accessories zake rangi yeyote ila nyeupe itapewa kipaumbele.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tv ya nchi 21 inahitajika.. Iwe nzima kabisa na iwe inaonesha kwa clarity nzuri, maana'ke yabidi iwekwe salon ambamo itakuwa ON kwa masaa mengi kwa siku. Bajeti ni 70,000/=
0 Reactions
9 Replies
2K Views
natafuta gari aina ya Noah ambalo lilikuwa kweny matumiz binafsi na si daradara tsh 6.5 ml cash.. mawasiliano 0673609535
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Gari ipo dodoma na ipo katika hali nzuri 0714 943684
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habali wakuu, nahitaji generta ndogo used kwa matumizi madogo ya nyumbani kama unayo tiwasiliane 0754078015 nipo dar
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Asalaam wana jukwaa, natafuta gari Toyota IST namba C au D iwe kwenye hali nzuri na isiwe na tatizo lolote. bajeti yangu haizidi milioni nane. kama unayo nicheki kupitia 0654209804
0 Reactions
2 Replies
791 Views
NZDUSD = Buy NZDJPY = Buy NZDCAD = Buy NZDCHF = Buy EURNZD = Sell GBPNZD = Sell AUDNZD = Sell NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of 200...
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Mercury nyeupe inapatika , kilo moja ni Tsh 500,000. Nipo Mwanza. Kwa mawasiliano zaidi tuonane inbox.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naitaji bajaji hasa ya abiria used kidogo nikupe kiwanja high density kilichopo shinyanga mjini papale,kilishapimwa hati bado. Mimi siishi huko tena ,aliye seious ani PM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Haijawahi tumika kama bodaboda. Ina miezi 4. Ina vibali vyote. Bei: 1.7m 0714134399. Ipo Dar es salaam.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu Mwenye Kuuza Dekoda Pekee Yake Ya Azam Bila Dishi, Anipm Tafadhali Nahitajii.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni nzuri zipo ktk hali nzuri sana ukiziona na kuzijaribu hutaamini matunzo yake ni Spacio na Nissan Primers. Picha hizi hapa japo camera si nzuri sana. Mawasiliano 0713791233 zote zipo dar.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Gari lipo dar es salaam kigamboni halinatatizo lolote model honda cr-v kilometer 100,000 limemetembea year 1998 cc 1570 air bags 2 transmission auto fuel petrol bei 5.6mill (maelewano yapo)...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
TANGAZO MAALUM: Chuo kikuu cha kimataifa cha kampala kilichopo Dar es salaam-Gongolamboto kinapenda kuwatangazia nafasi za masomo kwa watu wote walio maliza kidato cha nne, kidato cha sita na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello Jamiiforums. Nimejitolea kuandika subtittles kwa wale watengenezaji wa movie za kiswahili. Nitakufanyia kazi bora kabisa kwa kutafsiri lugha ya kiswahili kwenda kingereza kwa asilimia...
0 Reactions
2 Replies
930 Views
Salute wakuu, Kutokana na kwamba watu wengi wamekuwa wakikutana na changamoto nyingi katika shughuli za ujenzi wa nyumba zao kama vile,tabia zisizo za uaminifu kwa baadhi ya mafundi za...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Taja Na Bei Au Kwa Wale Wa K'koo Ni Pm Tutameet
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Life at University is so much fun but it can get hard sometimes and even harder after graduating. Would you like to earn a part time income while studying? Or fulltime income after graduating or...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom