Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 140
Jamani naomben msaada kuhusu ununuzi wa GODORO BORA, nimetoa kitanda changu kwa fundi juzi tu, sasa nataka kununua Godoro je ninunue GODORO gani zuri (na sababu zake) ambalo litadum maana nahofia kununua halafu baada ya muda lichakae na kuisha thamani Tusaidiane wadau nadhani,
naomben kila atakae fungua hii thread asiache kuacha coment yake please! nadhani imeeleweka!
naomben kila atakae fungua hii thread asiache kuacha coment yake please! nadhani imeeleweka!