Msaada kuhusu uchaguzi wa Godoro Bora

Msaada kuhusu uchaguzi wa Godoro Bora

Zuia Sayayi

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
841
Reaction score
140
Jamani naomben msaada kuhusu ununuzi wa GODORO BORA, nimetoa kitanda changu kwa fundi juzi tu, sasa nataka kununua Godoro je ninunue GODORO gani zuri (na sababu zake) ambalo litadum maana nahofia kununua halafu baada ya muda lichakae na kuisha thamani Tusaidiane wadau nadhani,
naomben kila atakae fungua hii thread asiache kuacha coment yake please! nadhani imeeleweka!
 
kwann Tanform braza maana naskia yana wahi kuchoka
hlf kuna mtu kaniambia eti Banko ndo magodoro mazur je ni kweli?

Si kweli, la kwangu lina mwaka wa kumi na hata halijabadilisha ugumu wake wa asili usioumiza lakini.

Baada ya Tanform at least QFL Dodoma; Banco labda siku hizi wawe wameboresha, hapo katikati yalikuwa hayafai kabisa.

NB
Mimi si braza ni mother au sister!
 
Nunua magodoro Dodoma...Alinunua babu mpaka mjukuu analitumia.
 
Si kweli, la kwangu lina mwaka wa kumi na hata halijabadilisha ugumu wake wa asili usioumiza lakini.

Baada ya Tanform at least QFL Dodoma; Banco labda siku hizi wawe wameboresha, hapo katikati yalikuwa hayafai kabisa.

NB
Mimi si braza ni mother au sister!

nashukuru kwa msaada wako csta nitajtahid kuyatafuta, vp cost yake co xpensive?
 
Ubungo. MANZESE, kariakoo! Kariakoo! Ooh sorry mke wangu, . . . . ! Mbezi Kariakoo, mbezi kariakoo! . . . .
 
Jamani naomben msaada kuhusu ununuzi wa GODORO BORA, nimetoa kitanda changu kwa fundi juzi tu, sasa nataka kununua Godoro je ninunue GODORO gani zuri (na sababu zake) ambalo litadum maana nahofia kununua halafu baada ya muda lichakae na kuisha thamani Tusaidiane wadau nadhani,
naomben kila atakae fungua hii thread asiache kuacha coment yake please! nadhani imeeleweka!

Kwa mtazamo wangu hakuna godoro linatengenezwa Tanzania lenye viwango vya kitabibu. Magodoro yote niliyojaribu yameniumiza sana mgongo na misuli. Naamka asubuhi hoi bin taaban kama nilikuwa nacheza sumo.....Nikaamua kuvunja kibubu na kwenda kwa mturuki pale mikocheni (ozendi furniture), nilinunua godoro ambalo hadi Leo lipo ktk hali ile ile na ni zaidi ya mwaka sasa. Lakini bei yake ndio hovyo tena (laki saba na nusu ie 750,000)
Kama budget inaruhusu kachukue spring mattress pale hutajuta hata kidogo.
 
nakushauri go 4 spring matteres. nimenunua langu jeshn laki 1 na tisini na 6. halibonyei na haliumiz misuli
 
Arusha Tanfom ndo godoro acha ubishi. kumbuka mchakuwa nasi mwisho huambulia dafu au koroma
 
Jamani naomben msaada kuhusu ununuzi wa GODORO BORA, nimetoa kitanda changu kwa fundi juzi tu, sasa nataka kununua Godoro je ninunue GODORO gani zuri (na sababu zake) ambalo litadum maana nahofia kununua halafu baada ya muda lichakae na kuisha thamani Tusaidiane wadau nadhani,
naomben kila atakae fungua hii thread asiache kuacha coment yake please! nadhani imeeleweka!
Ulikuwa unalalia nini kabla?
Chunguza brand za hayo uliyoisha wahi kulalia ambalo lipo comfortable ndio zuri, haya mambo lidumu muda mrefu likiwa linaumiza mbavu litakuumiza kwa muda mrefu pia.
 
Kamata mzigo wa Tanfoam-Arusha ni la uhakika utatumia wewe mpaka wajukuu na vitukuu.
 
Hamna hata daktari anaeweza kuja na ushauri wa kitaaluma humu JF juu ya magodoro jamani?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kwann Tanform braza maana naskia yana wahi kuchoka
hlf kuna mtu kaniambia eti Banko ndo magodoro mazur je ni kweli?

ndg TANFORM ndo godoro pekee ninaloliamini nimeshatumia aina nying ila Tanform ni godoro bora zaidi. Hata likitumika kwa MIAKA 10 huonekana kama la JANA!
 
mi natumia banco kila nikiamka asubuhi aidha mgongo au kiuno kinauma. nimeuliza wapo wanaosema dodoma na wengine wanasema Arusha
 
Back
Top Bottom