IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 802
KIMI DEV. CONSULT LTD,
(Kwasasa tupo Mbeya mjini)
Nashukuru wanaJF, nimepata respond nzuri through PM, mdau mmoja, nadhani sio member humu, ametuelewa na sasa tumeingia mkataba wa sisi Kumtafutia na kumnunulia mchele mzuri......wa Kyela pure na Kamsamba pure pamoja na pure sunflower oil.....yeye ni mfanya biashara Dar na Morogoro.......kwa masharti yetu na gharama zetu HAKIKA ameona atapunguza gharama na atapata bidhaa ya uhakika na katika mpangilio salama.
Je, wewe tukufanyie nini?
Karibu
Nashukuru wanaJF, nimepata respond nzuri through PM, mdau mmoja, nadhani sio member humu, ametuelewa na sasa tumeingia mkataba wa sisi Kumtafutia na kumnunulia mchele mzuri......wa Kyela pure na Kamsamba pure pamoja na pure sunflower oil.....yeye ni mfanya biashara Dar na Morogoro.......kwa masharti yetu na gharama zetu HAKIKA ameona atapunguza gharama na atapata bidhaa ya uhakika na katika mpangilio salama.
Je, wewe tukufanyie nini?
Karibu