SkyTanzania
Member
- Nov 4, 2015
- 11
- 15
SKY KWANINI UMEAMUA KUANDIKA KITABU CHA BEYONCE NA JAY Z BADALA YA KUANDIKA HISTORIA ZA WATU WA TANZANIA NA AFRIKA? HILI NI SWALI NINALOULIZWA SANA NA NADHANI NITAULIZWA ZAIDI KITABU KIKIZINDULIWA RASMI DECEMBER 4 MWAKA HUU
1. Nimewahi kutoa kitabu cha sauti cha Mtemi Mirambo: Sultani Mkuu wa Afrika. Kinapatikana mtandaoni na kwenye CD.
2. Siku za usoni nimefikiria kuandika vitabu vyenye mkusanyiko wa historia za wasanii wa Tanzania, mtavinunua? Au ndio mtasema mnawaona kila siku so kwanini ununue kitabu?
3. Maisha, Mapenzi na Maumivu ni vitabu vinavyozungumzia historia za maisha ya wanandoa maarufu duniani. Matoleo yajayo yatawahusu Barack na Michelle Obama, Kanye West na Kim Kardashian, David na Victoria Beckham nk. Kama wakifunga ndoa, Diamond na Zari, Vanessa Mdee na Jux au Nahreel na Aika watahusika pia, why not!
4. Beyonce na Jay Z si watu wageni katika maisha yetu. Tumewafahamu kwa takriban miongo miwili sasa. Wengi, hususan vijana tunajua nyimbo zao na kwa kiasi kikubwa muziki wao hutuchangamsha. Hakuna tofauti na jinsi ambavyo mtu anakuwa shabiki wa Manchester United, Chelsea, Arsenal, Real Madrid au Barcelona wakati ni timu za nje ambako hajawahi hata kufika au kuonana nao.
5. Walengwa wa kitabu hiki ni wale wanaowafahamu Jay Z na Beyonce na wanaopenda kuwafahamu zaidi. Pia kitabu hiki kitawafungua pia wale wasiowafahamu kabisa. 6. Kitabu kimeandikwa kwa Kiswahili na kinawezwa kusomwa na mtu yoyote duniani anayezungumza lugha hiyo au anayejifunza
7. Beyonce na Jay Z wana historia ya kuvutia sana ambayo inaweza kumfurahisha mtu yoyote. Wana vingi tunavyoweza kujifunza katika maisha ya kawaida
9. Kibiashara kitabu hiki kina nafasi kubwa zaidi ya kufanya vizuri kwakuwa hawa ni watu wanaofahamika dunia nzima. Mfano mzuri ni audio book ya Mirambo ambayo niligundua kuwa watu nje ya Tanzania hawamjui ama hawako interested na mwisho wa siku sifanyi kwa kujifurahisha tu. Hii ni sehemu yangu ya kutumia uwezo nilionao kujiongezea kipato
10. Mimi ni shabiki mkubwa wa Beyonce na Jay Z. Kitabu hiki nimekiandika kwa kufurahia sana na ile feeling ya kukikamilisha ni kubwa zaidi kuliko hata kitakavyouza
Nataka kufanya kitu tofauti
Wasiliana nami kwa namba 0766173514
1. Nimewahi kutoa kitabu cha sauti cha Mtemi Mirambo: Sultani Mkuu wa Afrika. Kinapatikana mtandaoni na kwenye CD.
2. Siku za usoni nimefikiria kuandika vitabu vyenye mkusanyiko wa historia za wasanii wa Tanzania, mtavinunua? Au ndio mtasema mnawaona kila siku so kwanini ununue kitabu?
3. Maisha, Mapenzi na Maumivu ni vitabu vinavyozungumzia historia za maisha ya wanandoa maarufu duniani. Matoleo yajayo yatawahusu Barack na Michelle Obama, Kanye West na Kim Kardashian, David na Victoria Beckham nk. Kama wakifunga ndoa, Diamond na Zari, Vanessa Mdee na Jux au Nahreel na Aika watahusika pia, why not!
4. Beyonce na Jay Z si watu wageni katika maisha yetu. Tumewafahamu kwa takriban miongo miwili sasa. Wengi, hususan vijana tunajua nyimbo zao na kwa kiasi kikubwa muziki wao hutuchangamsha. Hakuna tofauti na jinsi ambavyo mtu anakuwa shabiki wa Manchester United, Chelsea, Arsenal, Real Madrid au Barcelona wakati ni timu za nje ambako hajawahi hata kufika au kuonana nao.
5. Walengwa wa kitabu hiki ni wale wanaowafahamu Jay Z na Beyonce na wanaopenda kuwafahamu zaidi. Pia kitabu hiki kitawafungua pia wale wasiowafahamu kabisa. 6. Kitabu kimeandikwa kwa Kiswahili na kinawezwa kusomwa na mtu yoyote duniani anayezungumza lugha hiyo au anayejifunza
7. Beyonce na Jay Z wana historia ya kuvutia sana ambayo inaweza kumfurahisha mtu yoyote. Wana vingi tunavyoweza kujifunza katika maisha ya kawaida
9. Kibiashara kitabu hiki kina nafasi kubwa zaidi ya kufanya vizuri kwakuwa hawa ni watu wanaofahamika dunia nzima. Mfano mzuri ni audio book ya Mirambo ambayo niligundua kuwa watu nje ya Tanzania hawamjui ama hawako interested na mwisho wa siku sifanyi kwa kujifurahisha tu. Hii ni sehemu yangu ya kutumia uwezo nilionao kujiongezea kipato
10. Mimi ni shabiki mkubwa wa Beyonce na Jay Z. Kitabu hiki nimekiandika kwa kufurahia sana na ile feeling ya kukikamilisha ni kubwa zaidi kuliko hata kitakavyouza
Nataka kufanya kitu tofauti
Wasiliana nami kwa namba 0766173514