Nitakuwa mbeya kesho kutwa kama utahitaji kutengenezewa incubator kwa gharama nafuu na yenye ufanisi wa 86% tuwasiliane kwa no. 0754078015.
Nitakua Mbeya mjini.
Uongozi wa kbn media group, tunawatangazia watu wote kuwa tunatengeneza blog na tovuti.
Kwa bei rahisi na kutengeneza adsense acc ambayo itakusaidia kiuchumi. Utalipwa mpaka dolla 300 kwa mwezi...
Wana JF na umma kwa ujumla kiwanja cha biashara chenye ukubwa wa mita za mraba 4000 kinauzwa maeneo ya Ununio nusu kilomita kutoka ufukweni na kama nusu kilomita kutoka barabara ya Bagamoyo...
Jipatie cm zifuatazo kwa bei nafuu.
Note 1 kwa 250,000/=
Note 2 kwa 400,000/=
Note 3 kwa 700,000/=
Note 1 imetumika kwa miez 3 bado ni kama mpya note3 na note 2 hizi bado mpya zipo kwenye mabox...
Ndugu Wanajamvi,
Sijui kama laptop huwa zina housing. Mimi natafuta housing ya Samsung Laptop 16 Inches yenye rangi ya nyeusi.
Fundi yeyote aliyo nayo au kama unamjua aliyenayo anitumie picha...
Nipo Dar na nimeitumia kwa mwezi 1 bei rahisi anehitaji ani pm
Specifications:
Platform : android with htc sense
htcblink feed
Cpu. : qua incomm snapdragon...
Kwa wale wafanya biashara za tgo pesa na mpesa kama kuna anayeuza till za tgo pesa na mpesa...nazihitaji.....Kqma unazo please nitumie PM(private message)
Nipo Dar es salaam
Nauza ofisi nzima kama ilivyo hapa Arusha maeneo ya Chuo kikuu cha St. Augustine.
Ina photocopy 2.
Printer 2.
Computer 2.
Laini za wakala(Voda, Tigo na Airtel).
Na vitu vingine vingi.
Bei...
Wadau,
Tunauza kiwanja kina ukubwa wa 25/45 pia kuna pagale Lina nyumba kubwa hicho kinauzwa milion 60..halafu kuna cha 25/45 kina nyumba ya vyumba viwili imejengwa ndani kuna umeme na maji...
Mwenye suruali za kike na za kiume (jeans preffered most) tuwasiliane maana nahitaji kununua ili nikauze reja reja.
Au kama unafahamu duka linalouza kwa bei nzuri tafadhari nielekeze.
Kupitia...
Habari za humuJF,
Natafuta room na sebule niweze kupanga maana huku nnapo ishi hali sio nzuri .
Tafadhali nisaidieni haswa maeneo ya Tabata, Ubungo, Kigamboni.
Uwezo wangu elfu 80 kwa room 2.
Habari zenu ndugu zangu wa jukwaa hili, ningependa kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nina kiwanja changu ambacho kipo eneo la Madale Mivumoni.
Ukubwa wake ni Hekari Moja, bei yake ni shilingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.