Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jipende au mpende mwanao au mdogo wako MLETE APATE ELIMU NA MALEZI BORA. wapi? UJIJI ISLAMIC sec Kidato cha I mpaka IV ADA:1,000,000/= bweni 400,000/= kutwa ujiuji kigoma Simu...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari wakuu, Nahitaji mkopo wa laki moja kabla ya ijumaa saa saba (kesho).Pesa yote inarudi ndani ya wiki moja na riba ya elfu thelathini. Dhamana utachagua wewe mwenyewe maana nina asset...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamvi, Kwa Gentlemen wanaohitaji suti kali sana kwa bei affordable (TShs 120,000 @) tafadhali wasiliana nami kwenye +255 757 429923. Brands aina zote kali zinapatikana, kuanzia Robson...
3 Reactions
50 Replies
10K Views
Popote ulipo au mwenye namba ya Tunzo naomba anipatie, ikiwezekana niipate muda huu.
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Business/Project development services Sourcing services Agency services Contact; kimiconsultancy@gmail.com Visit our blog; KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED
0 Reactions
0 Replies
550 Views
Ndugu wana JF, nauza asali ya nyuki wakubwa. Lita tsh 10,000 kwa bei ya jumla, dumu la lita ishirini ni sh 150,000. Soko linanisumbua, msaada jamani. Simu 0674003082
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Samahani wakuu ninahitaji kupata kifaa cha kufanyia mazoezi hasa ya kukimbia.kuna kifaa kinaitwa treadmill kitanifaa zaidi. Wapi wanauza kwa Dar?
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari zenu wote! Napangisha nyumba ipo maeneo ya Kijitonyama Mabatini jirani na kwa Mama Anna Makinda. Sifa za nyumba hiyo ni kama zifuatazo:- 1. Self contained 2. Vyuma vitatu vya kulala kimoja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Am selling malboro cigarete from south africa In a good price Our price is 23,000 per 10 parkt Call 0656436662 and press ur order
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa haina tatizo lolote bei 120000 piga 0714702720
0 Reactions
3 Replies
1K Views
sifa zake. RAM:2GB HDD:320GB CPU:2.4GHZ picha nimeshindwa kuaplod hivyo nitatuma kwa njia ya watsapp kama unahitaji, 0672110065
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu ni wapi naweza pata asali bora kwa hapa dar es salaam??
0 Reactions
3 Replies
776 Views
Gari nliyoitaja hapo inauzwa fasta bei Cher gari ni nzima haina shida yoyote. Bei yake ni 5 milion Ina 4wd,ina gear tano Inapatikana Dar es salaam kwa mawasiliano piga sim 0715591141
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa bunju beach ina ukubwa wa sqm 1000 ipo ndani ya fensi ina bedroom 3 ina dyning ina store, sitting room pia ina servant coter na nyumba ina hati miliki.....BEI YAKE NI TSH 250milion...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Nilituma mtu kuninunula washing machine, lakini kwavile ni binti hakuelewa namna ya kutumia. Ipo user manual ila nina shida ya kuona maandishi madogo. Naomba mtu tupatane nae nitampa nauli na kuja...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Suzuki Carry Truck inauzwa. Number D. Haijatumika TZ. Haijalipiwa Bima. Ya 1998 Manual Haina FW Mileage 28,000 kms White Interested, Pse PM.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunapatikana karume kwa mawasiliano piga 0718375766
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Kipo Mbezi Msumi Nyumba imefikia kwenye lintel bei 10 million nicheck humu 0786192808
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa anaehitaj PS3 ikiwa na pad ake orignal nakupa na CD3, fifa2015,street soccer namaxp3 kwa shiling za kitanzania 380,000/- tu. PM kwa anaehitaj.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…