Napangisha chumba changu kwa bei ya elfu 40 kwa mwezi,chumba kina dari la gypsum,rangi nzuri na kikubwa,nililipia miezi 6 sasa nataka kuhamia gongo la mboto chuoni,kwa hiyo atakayehitaji anitafute...
Pata kitabu kitakachokupa maarifa yoote unayohitaji kama mjasiriamali katika ulimwengu wa sasa hapa Tanzania.
Jifunze njia mbalimbali na aina tofauti za biashara ambazo unaweza kufungua. KWA...
Kama misimu mingine iliyopita JAPAN
Kama kawaida kamapuni ya magari ya japani inaendelea kutoa zawadi ya magari ya bure msimu huu wa sikukuu sasa ili kujua jinsi gani unaweza pata gari hizo ingia...
Wakuu nauza gari hiyo,
Mataili yote mapya yana siku 4
Shockup zote zimebadilishwa.
Betri mpya
Boll joint zomebadilishwa .
Bushi safi kabisa
AC inafanya kazi.
Matengenezo: Pale mbele kwenye plate...
Nisaidien sana Kiwe kinondon studio mwananyamala biafra makumbusho mkwajun ,,,, ata kawe mikochen kijitonyama ostabei polis bei isizidi efu sabini ni chumba cha kulala sio stoo. Nitakupa efu...
Nahitaji gari aina ya toyota. (Yenye namba C Itapewa kipaumbele) Bajeti yangu ni 5.5 ml niko dar. Tumia namba 0654 305133 kwa whatsupp au piga namba 0713 307072 kwa maelekezo zaidi
Wadau Peeples!
Kwakuwa kazi ya harakati inaendelea mpka taifa letu litakapojipatia uhuru wake wa pili na kwakuwa mimi bila shuriti nimejitolea kushiriki kazi hii adhimu.
Natafuta fundi...
Habari wana jf, hii ni fursa kwa wakazi wa Moshi na waliopo mikoa ya jirani na moshi tutakuja kufanya Ground water survey maeneo ya huko kuanziya tarehe 8/12/2015 kwa yeyote atakaye hitaji huduma...
NAFASI YA KAZI YA UMENEJA
Anatafutwa meneja wa kusimamia mradi wa kusaga nafaka Dar es salaam. Kazi yake kubwa itakua kusimamia uzalishaji pamoja na mauzo
1. Awe na Elimu ya Kidato cha Nne...
Kuna vyumba viwili vinapangishwa (Chumba na Sebule & Chumba na Sebule) bt sio master bedroom bei ni sh 80,000/= na Sh 100,000/= kwa mwezi but inatakiwa kodi ya mwaka mzima, Umeme ni Luku na nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.