Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wakuu ni wapi naweza pata asali bora kwa hapa dar es salaam??
0 Reactions
3 Replies
771 Views
Gari nliyoitaja hapo inauzwa fasta bei Cher gari ni nzima haina shida yoyote. Bei yake ni 5 milion Ina 4wd,ina gear tano Inapatikana Dar es salaam kwa mawasiliano piga sim 0715591141
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa bunju beach ina ukubwa wa sqm 1000 ipo ndani ya fensi ina bedroom 3 ina dyning ina store, sitting room pia ina servant coter na nyumba ina hati miliki.....BEI YAKE NI TSH 250milion...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Nilituma mtu kuninunula washing machine, lakini kwavile ni binti hakuelewa namna ya kutumia. Ipo user manual ila nina shida ya kuona maandishi madogo. Naomba mtu tupatane nae nitampa nauli na kuja...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Suzuki Carry Truck inauzwa. Number D. Haijatumika TZ. Haijalipiwa Bima. Ya 1998 Manual Haina FW Mileage 28,000 kms White Interested, Pse PM.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunapatikana karume kwa mawasiliano piga 0718375766
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Kipo Mbezi Msumi Nyumba imefikia kwenye lintel bei 10 million nicheck humu 0786192808
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa anaehitaj PS3 ikiwa na pad ake orignal nakupa na CD3, fifa2015,street soccer namaxp3 kwa shiling za kitanzania 380,000/- tu. PM kwa anaehitaj.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunachimba visima bei ni TZS 70,000/= kwa mita moja na hii bei ni kwa wale waliopo Dar es salaam ila kama upo nje ya Dar es salaam tunachimba Laki moja kwa mita moja. Tunafunga Pampu pamoja na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za mchana. Office inapangishwa ipo eneo la Mikocheni karibu kabisa na suma jkt njia ya kwenda kawe. Ina parking kubwa ya kutosha. Jengo lina vyumba vitano, sehem ya jiko na choo. iko...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Greetings, great thinkers, I am here to ask for your cooperation in this attempt of national building and seeking the daily bread. As a way of beating poverty and seeking financial freedom, I...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau natafuta gari tajwa hapo kwa ajili ya biashara ya daladala! Gari iwe na sifa hizi 1. Iwe nzima kabisa na inafanya kazi! 2. Isiwe imefanyiwa overhaul (kubadilishwa engine) 3. Iwe walau...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
nipo Morogoro mizigo ni Vtu vya Ndani Kama Unafahamiana Na dereva Naomba Unisaidie Namba!! mmbarikiwe
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu ninahitaji Toyota IST, iwe katika hali nzuri budget yangu ni 8mlns, ila tunaweza kuongea pia in case unaiuza kwa bei ya juu kidogo...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Habari nyote. . nahitaji mpishi/mtaalam atakaepika vizuri vyakula mbalimbali kwa ajili ya restaurant inayoanzishwa Mwenge Dar es Salaam. Atakaevutiwa tafadhali nichek kwa namba hii 0688 353535.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari.. tunauza kinywaji cha dragon (energy drink) kwa bei ya jumla tsh 37000 per caton (24 pic) 500ml call 0714 9616 61 or 0756 090 222 dar es salaam
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Natafuta PSP game
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi, kwa yeyote anaeweza kusaidia upatikanaji wa vyumba vya kupangisha Chanika tuwasiliane 0717396677
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Make Nissan Model X-Trail Price Tsh mil 11 Year Manufacture 2002 Fuel Petrol Transmission Automatic Body type Station wagon Mileage 160000 Imeingia Tz ikiwa imetembea Km 120000 hivyo kwa Hapa Tz...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napangisha chumba changu kwa bei ya elfu 40 kwa mwezi,chumba kina dari la gypsum,rangi nzuri na kikubwa,nililipia miezi 6 sasa nataka kuhamia gongo la mboto chuoni,kwa hiyo atakayehitaji anitafute...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom