Mashamba barabara ya Bagamoyo- Msata

Mashamba barabara ya Bagamoyo- Msata

ishiveti

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
1,019
Reaction score
519
Wadau nataka ninunue shamba maeneo haya ,,naombeni ushauri kwa aliyeshanunua.

Kuna maji ?LEVEL YA UTAPELI?sehemu nzuri ni kijiji kipi??nataka niandae makazi yangu ya kuishi huko niweke na mifugo.
 
Nipigie 0786741162 kama upo serious. Utapata Kimange ukipita wami mtoni kilometa chache. Kijiji kando ya barabara iendayo Arusha/Tanga.
 
Nipigie 0786741162 kama upo serious. Utapata Kimange ukipita wami mtoni kilometa chache. Kijiji kando ya barabara iendayo Arusha/Tanga.

bagamoyo to msata road,,,huko baada ya wami nani kasema,,thanks kwa feedback
 
Wadau nataka ninunue shamba maeneo haya ,,naombeni ushauri kwa aliyeshanunua ,,kuna maji ?LEVEL YA UTAPELI???sehemu nzuri ni kijiji kipi??nataka niandae makazi yangu ya kuishi huko niweke na mifugo

nenda mailikumi korogw seger ni bureee
 
Wadau nataka ninunue shamba maeneo haya ,,naombeni ushauri kwa aliyeshanunua.

Kuna maji ?LEVEL YA UTAPELI?sehemu nzuri ni kijiji kipi??nataka niandae makazi yangu ya kuishi huko niweke na mifugo.

Kiufupi maeneo ni mazuri lakini ni vizuri ukinunua eneo kubwa kuanzia eka moja kwa sababu bado yako cheap na kwa uwekezaji wa mifugo itakuwa poa zaidi. Na barabara mpya bagamoyo-msata imeanza kuvamiwa na local investors kwa kasi. Kuhusu utapeli upo lakini kwa kiasi kidogo sana haijawa too much hasa ukienda kichwakichwa unaibiwa. Ukihitaji msaada zaidi niPM.
 
asante sana,,,mimi nahitaji zaidi ya heka moja inategemea na bei,,,kijiji gani ni kizuri ,,vip na maji yanapatikana huko au ndo visima,,,niliwaza maeneo ya karibu na msata labda huko maji yapo sijui kama unaweza nipa ushauri hapo...vp bei ya heka min inafika ngapi,,na unaweza pata umbali gani toka barabara kubwa
 
Is not that much cheap. The road is passable all the time, water in the process and power is available.
 
Kiufupi maeneo ni mazuri lakini ni vizuri ukinunua eneo kubwa kuanzia eka moja kwa sababu bado yako cheap na kwa uwekezaji wa mifugo itakuwa poa zaidi. Na barabara mpya bagamoyo-msata imeanza kuvamiwa na local investors kwa kasi. Kuhusu utapeli upo lakini kwa kiasi kidogo sana haijawa too much hasa ukienda kichwakichwa unaibiwa. Ukihitaji msaada zaidi niPM.
asante sana,,,mimi nahitaji zaidi ya heka moja inategemea na bei,,,kijiji gani ni kizuri ,,vip na maji yanapatikana huko au ndo visima,,,niliwaza maeneo ya karibu na msata labda huko maji yapo sijui kama unaweza nipa ushauri hapo...vp bei ya heka min inafika ngapi,,na unaweza pata umbali gani toka barabara kubwa??nilitamani kupata karibu as possible
 
Ukivuka mto ruvu kwa mbele kuna kona inaitwa makulunge njia ya kwenda kupitia gama/makaani to saadani. Huko usisogee kuna migogoro na muwekezaji eco enegry.
 
Ukivuka mto ruvu kwa mbele kuna kona inaitwa makulunge njia ya kwenda kupitia gama/makaani to saadani. Huko usisogee kuna migogoro na muwekezaji eco enegry.

asante mkuu,,,vp maji yanapatikana huko
 
Back
Top Bottom