Shamba linauzwa Kiwangwa- Bagamoyo

Shamba linauzwa Kiwangwa- Bagamoyo

badspender1

Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
74
Reaction score
6
Shamba linauzwa lipo Kiwangwa(Bagamoyo) lina jumla ya Ekari 20. Lipo umbali wa mita 50 tu kutoka barabara kuu ya lami ya Bagamoyo-Msata. Umeme upo, shamba lina minazi,na miti ya mikorosho,pia lina bonde la maji kwaajili ya kilimo cha mpunga na umwagiliaji. kuna nyumba ya wafanyakazi ndani ya shamba.
Bei ni Tsh Milioni 10 kwa kila Ekari. simu 0688023398/0719413895 Isaka
 
Haha, eti Milioni 10 kwa ekari. kweli wonders shall never end.

Hiyo thamani ya ardhi imepandishwa na nini huko? hata kama lingekuwa limepimwa haiwezi zidi 2M for an acre kwa Bagamoyo.
 
Bei ya shamba Bagamoyo/ Msata inaanzia laki tatu mpaka laki tano kwa eka. Hiyo minazi na mikorosho ndio inafikisha milioni kumi? Madalali wengine wezi sana kwa kweli
Mama Joe njoo umsikilize huyu


Yaani wanavyoongeaga utafikiri labda huku jamii forum watu wote walipata mgao wa ESCROW afu anaposema nyumba ya mfanyakazi hauchelewi ukienda unakuta ni kijibanda cha mbavu za mbwa
 
Yaani wanavyoongeaga utafikiri labda huku jamii forum watu wote walipata mgao wa ESCROW afu anaposema nyumba ya mfanyakazi hauchelewi ukienda unakuta ni kijibanda cha mbavu za mbwa

lugha yao siku hizi inaitwa esrow
 
Hiyo mbona ni bei ya surveyed plots ndugu,ni kigezo gani unatumia kuliita shamba



shamba linauzwa lipo kiwangwa(bagamoyo) lina jumla ya ekari 20. Lipo umbali wa mita 50 tu kutoka barabara kuu ya lami ya bagamoyo-msata. Umeme upo, shamba lina minazi,na miti ya mikorosho,pia lina bonde la maji kwaajili ya kilimo cha mpunga na umwagiliaji. Kuna nyumba ya wafanyakazi ndani ya shamba.
Bei ni tsh milioni 10 kwa kila ekari. Simu 0688023398/0719413895 isaka
 
Nimepiga simu tayali Wameshanunua hilo shamba. Tangazo la muda mrefu kumbe.
 
Hakuna hela chafu siku hizi afikirie upya bei yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom