Plot for sale at Mwananyamala A opposite Mwananyamala Hospital, Plot is 4050 Square feet, Good for Commercial and Residential buildings, all legal documents are in hands. No middleman needed...
Jipatie wine bora na salama isiyokuwa na kemikali yoyote ile kwa bei nafuu.. wine inatengenezwa Bihawana, Dodoma kwa kutumia zao la zabibu tu. Tunauza kwa bei ya jumla na rejareja! Tunatuma...
habarini wakuu,viwanja vinauzwa maeneo ya mkundi karibu na zinakojengwa nyumba kwa ajili ya watumishi umma manispaa ya morogoro.,kiwanja kidogo kabisa kina square mita 575,bei ina range from 3.5m...
Imetumika miezi mitano ila bado ipo katika muonekano wa kuridhisha na istoshe haina tatizo lolote ile!
Call,text kwa maelezo zaidi au whatsapp kwa picha na nk. no:0772242688 napatikana dar es...
Husika na mada hapo juu.
Duka ni kwa ajili ya biashara ya vipodozi rejereja ila liwe na sehemu ya kuweka jokofu nje barazani
Kiwe barabarani kwenye mapito ya watu waendao kwa miguu...
0629189574
natanguliza shukran,
nahitaji frem ya biashara iwe kubwa saizi (3x3) m
mahali ni hapa dar es salaam maeneo ya tabata shule au maeneo ya karibu please assist!!
Kwa wale wote wanaotaka kujipatia line za Helotel pesa (V-pesa) na kujiongezea kipato zaidi, tafadhali piga simu namba 0718371221 / 0764705712 / 0627739477 Paul Alex) au 0684666945 Edwin chapa) au...
Chumba kinapangishwa Kipo ubungo gereji, kina choo ndani, tiles, jipsom na ni kikubwa. Maji na umeme vipo na kuna parking.. usalama wa kutosha (nyumba ina get na utulivu wa kutosha), kodi ni laki...
Habari wadau,
Nataka kufanya biashara ya spices mbalimbali za chakula, kama hiliki, mdalasini nilikuwa naomba mnijuze wapi ntapata packages za vikopo vidogo hata kama ni Dar.
Ahsanteni.
Hi!
Kama jinsi ambavyo heading inajieleza, mimi ni mfanyabiashara wa Laptop USED.
Hivyo kama kuna mtu mwenye laptop used na anahitaji kuuza, then hii itakuwa fursa nzuri kwako kufanya...
Kiwanja kinauzwa Goba karibu na Shule ya St Joseph Millenium. Kina ukubwa wa sqmt 1527 kimepimwa ma kina Hati.
Bei ni Tsh 35m
Call: 0712-859537/ 0765-178494
Habari wa jf katika maeneo ya Gezaulole kigamboni tuna viwanja vingi ambavyo tunauza kwa bei rahisi ya millioni 5 na kuendelea kwa kutegemea na ukubwa wa viwanja hivyo mnakaribishwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.