Uza laptop faster.

Uza laptop faster.

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
Hi!

Kama jinsi ambavyo heading inajieleza, mimi ni mfanyabiashara wa Laptop USED.

Hivyo kama kuna mtu mwenye laptop used na anahitaji kuuza, then hii itakuwa fursa nzuri kwako kufanya biashara.

Katika ununuzi wangu wa Laptop, pamoja na mambo mengine, lakini ningeomba sana angalau Lapotop zenye sifa hizi ndio zitangazwe:

• Hard Disk Drive iwe angalau 300 GB
• Ram iwe angalau 2 GB
• Processor iwe angalau 2 GHZ
• Webcam - Yes
• DVD ROM - Yes
• Windows Operating System - Yes

Kwa upande wa brand ya Lapotop, iwe yoyote tu.

NOTE: Mimi ni mfanyabiashara, hivyo natarajia bei ya Laptop itakayokuwa offered iwe reasonable ili na mimi nipate faida huko nitakapo uza.

Thanks in advance.
 
oooi nina hp 620 hdd 320gb ram 2gb prcssor 2.1ghz kwa 220000 nichek +255 753 014 872
 
Ninayo yenye zaidi au karibia na hiyo. Ila kasoro haina CD/DVD ROM
 
Back
Top Bottom