Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Napangisha nyumba moja ipo morogoro maeneo ya forest karibu na morogoro hotel, nyingine ipo dodoma area E karibu na area D au gate la airport, zinafaa kwa makazi au ofisi. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata website kwa bei poa kuanzia 280,000Tsh na kuendelea kutegemea na aina ya website Contact: 0653573232 Email: info@gobongotech.com Website:GO BONGO TECH Karibu sana
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Viwanja vyenye ukubwa vinauzwa Chamazi eneo la Mbande kwa masista, eneo ni tulivu kwa makazi ya binadamu. Tambarare na mwinuko. Ukubwa wa viwanja 50ft x 40ft na bei ni 7,000,000. Mchanga, maji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza gari Yangu kwa bei rahisi sana only 5,500,000. Mahali ilipo ni Zanzibar.hio ndio bei ya mwisho hakuna kupatana. Gari ilikuwa inatumika kwa ajili ya familia Yangu.nimeamua kuiuza sbb nataka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa salama! FEDE burudani inakuletea December to January special offer, kwa huduma ya MUSIC & MC kwa Tsh 490,000/= tu kwa tukio nzima kati ya haya;- Harusi, kitchen party, send off...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Kwa anayeitaka tuwasiliane ,pia ipo lap top hp imeharibika screen tu , hiyo nauza 190 k bei haipungui
0 Reactions
4 Replies
955 Views
Aghalabu kuna aina mbili za harufu ya kinywa. Ya kwanza ni harufu ambayo husababishwa na matatizo ya meno au fizi. Nyingine ni harufu ambayo hutoka tumboni, na mara nyingi hii hutokana na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wahi viwanja vitano (5) vilivyopimwa, makao makuu ya mkoa wa Pwani 25Km kutoka Dar es salaam. Mahali: mailimoja njia ya pangani 4Km kutoka njuweni Huduma za jamii kuna umeme na maji hapo hapo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Experienced person in Project Proposal Writing is needed to start the assignment as soon as possible.We are looking for a person who: *has a passion in volunteerism; *can volunteer 100% i.e...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau natumaini mpo salama kabisa Kuna viwanja vinauzwa vipo kibaha madafu karibu na kiwanda cha nondo pia kuna shule ambayo ni advance n olevel 20 kwa 20 ni Tsh 1,500,000/= Au kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haloo wakubwa. Nauza Suzuki Carry kwa milioni tano tu (5m). Ipo Dar ukitaka kuiona muda wowote nitafute kwa no 0687702626. Ipo Kigamboni. Sababu ya kuuza nimeshindwana na madereva. Odometer ...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
AL-JAZIRA A MPYA TANGAZO AL-JAZIRA ENGLISH MEDIUM PRE AND PRIMARY SCHOOL MBINGA SHULE IMESAJIRIWA KWA NAMBA RV:03/3/003. Ina watangazia nafasi za masomo kwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Shamba linauzwa mwanzo mgumu chanika lina ukubwa wa ekari tano,gari binafsi inafika mpaka shambani,bei ya kila ekari ni Tsh 2,500,000 maelewano pia yapo 0714621548
0 Reactions
2 Replies
2K Views
HI JF MEMBERS. NIMEFUNGUA DUKA LA REJAREJA LA KUUZA VIFAA VYA UJENZI NA UMEME MKOANI MTWARA. NAOMBA KAMA KUNA MTU ANADUKA ANAUZA KWA JUMLA ANIJUZE ILI NIWE NANUNUA KWAKE. PIA ATANISAIDIA KUPATA...
0 Reactions
11 Replies
15K Views
ningependa kujua faida zake kwa walio tumia pamoja na madhata
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama una simu Samsung au iphone unauza nitumie picha whatsapp tufanye biashara 0713439364
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF, Napenda kuwatahadhari na maduka yanayouza vifaa vya ujenzi mwenge kwenye round-about inayotokea mwenge sokoni kuelekea ubungo. Maduka haya kibiashara yapo eneo zuri na ni...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
chombo husika hakina tatizo lolote,kiko katika hali nzuri kabisa,nimeshindwa kuaplod picha,kama unahitaji ntakutumia whatsapp,0672110065
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama unauza simu nicheki tarehe hiyo tajwa hapo kwenye heading mwezi ujao kwa bei ya 2k (laki mbili) Sifa za simu: 1.Iwe inakaa na chaji kuanzia masaa matano, chini ya hapo...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
HUAWEI Ascend Mate 7 6ins. 1080p IPS-LCD screen Android 4.4.2 KitKat 16GB storage 2GB RAM 13MP main camera 5MP front camera Price: TShs. 550,000 in VERY good condition. will sell with 16GB...
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Back
Top Bottom