Habari Za Majukumu Wakuu!
Kiwanja Kinauzwa Kipo Maeneo Ya Kunduchi Yalipokuwa Machimbo Ya Mawe Zamani Eneo Lipo Umbali Wa Mita 400 Toka Barabara Kuu Ya Mwenge Tegeta Ukubwa Ni Miguu 20*20...
Chumba kipo Mwenge opposite magorofa ya Jeshi near TRA, chumba ni master (self) na jiko bei ni 180,000, per month maongezi yapo maji yapo na nisehem salama.
Pia Kuna nyumba Kama Kawa, kama...
Gari aina ya Mitsubish canter mayai engine 4D34, cabin kubwa. Bei ni maelewano.
Wasiliana nasi kwa simu 0752210479 au barua pepe : nanyukiinvestments@yahoo.com
PENFAR SECURITY LIMITED
Penfar Security is a limited company incorporated in Tanzania with a reputation for professionalism, devotion to duty and commitment to our industry. At Penfar Security...
Je unasumbuliwa na Chunusi, Mabakamabaka ya ngozi, muwasho wa ngozi, Allergy ya ngozi, Makunyanzi, Harufu mbaya ya kwapa?
Usihangaike kutoa gharama kubwa kujtibu.Jipatie sabun ya mzaituni kwa tsh...
Wakuu kama mnavyofahamu sasa hivi bila vijimradi vya pembeni maisha hayaendi kwa kutegemea kijimshahara tu, hivyo basi nina vijisenti vyangu nahitaji kuanzisha mradi tajwa hapa Arusha.
Maeneo...
Wadau napenda kuwashilikisha katika uwekezaji wa miti na kujipatia utajiri Baada ya muda mfupi....miti inapatikana Kuanzia hekari 1 hadi 300 .nk..miti hiyo ni kama vile.....
(a ) miti iliyo...
Hi ndugu zangu wapendwa...
Nauza. Latin za Wakala za airtel money ...
Ziko tano .
being ni sh 170000 kwa moja pia unaongea.
mawasiliano ni 0683708181
0657971779
ninauza gari hii ikiwa katika hali nzuri na haina tatizo lolote
Ni manual
Model ya mwaka 92
H1Z engine
4w drive
engine still intact(haijawahi kufunguliwa
kama utahitaji kuiona nijulishe kwa...
Ipo Dar es salaam,,MBEZI KIBANDA CHA MKAA,MOROGORO ROAD.VYUMBA 3 vya kulala,SEBULE KUBWA,VYOO 2,STOO,JIKO,chumba kimoja kinajitegemea kwa choo,MAJI yapo,UMEME upo nyumba imezungushiwa Fency,KODI...
Tunafunga mashine automatic za kumwagilia garden kutoka USA ni automatic kabisa unaiprogram inamwagilia yenyewe bila kuwepo mtu pia unaweza kumwagilia kwa remote au kwa simu yako ya smart phone...
ukubwa: heka 5
bei: laki 8 @ heka
mahali: ifakara- mngeta
sifa za shamba:.
Liko tayari kulimika, kuna mto pembeni ivyo unaweza kuendesha umwagiliaji,kilimo cha mpunga,cocoa linafaa...
Nyumba Inauzwa kinondoni Tsh mil 450
Ina flame za Maduka mbele lakini nyuma ina eneo jingine kubwa la Uwazi, Eneo lina kibali cha kujenga Ghorofa Tisa. kiwanja kina Hati na vibali vingine vyote...
Napangisha nyumba moja ipo morogoro maeneo ya forest karibu na morogoro hotel, nyingine ipo dodoma area E karibu na area D au gate la airport, zinafaa kwa makazi au ofisi.
Kwa mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.