Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

saa nzuri na unique.. brand ya Geneva zinapatikana. rangi nyeupe. bei 18000 contact 0755155782.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji kuwa wakala wa m-pesa nauza till ya m-pesa bei -Tshs 150,000/- Mawasiliano -0656 095 909 Mahali -Napatikana Arusha Picha imeambatishwa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana JF naomba ushauri, Nahitaji kununua tairi mpya za gari yangu aina ya Escudo; size (215/75R15) kuna ambazo zimeishaa lakini kwa kweli hazikunitendea haki kabisa yaani hizi sio...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
mwenye gari aina ya probox nipigie, iliyoko sokoni, namba yangu 0757430913
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa siku ya leo nawaletea ofa maalumu kabisa, Nunua selfie stick moja kwa shilingi 10000 tuu ni mpya na utendaji wake wa kazi ni 97percent efficient piga sim namba 0786371108 sasa upate maelezo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JENGA UCHUMI WAKO KUPITIA SIMU YAKO Jiunge na RIFARO AFRICA (RI-unitel) uwe na kipato endelevu ktk uchumi wako, huduma hii ni kwa watumiaji wa voda, tigo ,airtel na zantel. UTAPATA FAIDA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Toyota Corolla ya mwaka 1999 inauzwa kwa 3.5m (milioni tatu unusu tu) ni Manual bado AC yake nzima Body na hata viti engine ni 5A cc 1498 ipo Dodoma na kwa maelezo zaidi ni PM nikupe contact za...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Aliishi kijiweni/mchangani Sengerema Mwanza miaka 12 iliyopita kwa yeyote anaemfahamu au anafahamu alipo ani PM pleas.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwe maeneo ya Sinza, bei isizidi laki na nusu kwa mwezi na kiwe self contained na hata kama kuna kasebule pia sio mbaya. Pls pm me
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Nahitaji frem ya biashara hapa dar jwa ajili ya kufungua duka la mtaa la vitu muhimu. Bei yyt muhimu iwe sehemu inayolopa mwa biashara hiyo. Sasahiyi ninalo duka hilo ila nahitaji kilihamishia...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Dada yangu Semeni kama uko humu njoo PM .
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ubuyu Wa Zanzibar unapatikana, Tsh1000 kwa packet, delivery fee in 3000 kwa walio dar es salaam, tupigie 0689415975. karibuni sana
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Acer laptop p643, core i5, hdd500gb, processor 2, ram4 haina michubuko bei ni tshs400,000/= ipo dar Sinza afrika sana. Karibuni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Za Majukumu Wakuu! Kiwanja Kinauzwa Kipo Maeneo Ya Kunduchi Yalipokuwa Machimbo Ya Mawe Zamani Eneo Lipo Umbali Wa Mita 400 Toka Barabara Kuu Ya Mwenge Tegeta Ukubwa Ni Miguu 20*20...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chumba kipo Mwenge opposite magorofa ya Jeshi near TRA, chumba ni master (self) na jiko bei ni 180,000, per month maongezi yapo maji yapo na nisehem salama. Pia Kuna nyumba Kama Kawa, kama...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Gari aina ya Mitsubish canter mayai engine 4D34, cabin kubwa. Bei ni maelewano. Wasiliana nasi kwa simu 0752210479 au barua pepe : nanyukiinvestments@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
788 Views
PENFAR SECURITY LIMITED Penfar Security is a limited company incorporated in Tanzania with a reputation for professionalism, devotion to duty and commitment to our industry. At Penfar Security...
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Je unasumbuliwa na Chunusi, Mabakamabaka ya ngozi, muwasho wa ngozi, Allergy ya ngozi, Makunyanzi, Harufu mbaya ya kwapa? Usihangaike kutoa gharama kubwa kujtibu.Jipatie sabun ya mzaituni kwa tsh...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Samsung s3 inauzwa ina creck kidogo aina tatzo lingne iko poa bei 170k 0713844841
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Wakuu kama mnavyofahamu sasa hivi bila vijimradi vya pembeni maisha hayaendi kwa kutegemea kijimshahara tu, hivyo basi nina vijisenti vyangu nahitaji kuanzisha mradi tajwa hapa Arusha. Maeneo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom