Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mahali zilipo -Arusha bei -maelewano simu -0656 095 909 Picha zimeambatanishwa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama unahitaji friji na upo Mwanza. Hii hapa, bado mpya na inapoza sana. Ni model ya BOSS. Inahitaji laki 350 tu. Nipigie / sms / whatsapp kwa namba hii 0756851815. KARIBU
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina Mil 7 Cash Nataka Kiwanja Arusha Eneo liwe karibu na huduma zote za kijamii na lisiwe karibu sana barabara Kuu wala Lisiwe mbali vile vile ni PM kama Unacho kiwanja.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
maeneo ya kinondoni mkwajuni" kodi elfu sabini" 0653918931
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tecno p9 naiuza bei 150000(laki na hamsini)anayeitaka anipm!kuiangalia ni bure.haina tatizo lolote.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
size 10.1 ram 2gb hdd 160 inatumia line web cam bluetooth, wireless betre 5hrs 0782179882 bei 370,000 tu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninahitaji godown liwe maeneo kati ya Mikocheni, Kawe, Mwenge pia Mbagala. Liwe na eneo la 1 heka hadi eka moja na nusu. Budget 800000$. Mmwenye kujua aje PM asanteni.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba wadau humu mnisaidie kujua bei ya Sony inch 32 iwe bravia au ya kawaida.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye shida ya windows aina zote xp - 10! Ubuntu! Software aina zote na drivers!! Bei cheee ni buku 10 tu kwa kila window
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye namba za dalali wa vyumba maeneo ya Kariakoo na Mtongani anisaidie tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nyumba ya kupanga double self inahitajika.....
0 Reactions
0 Replies
618 Views
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na Viyumba viwili yani chumba sebule,, choo cha kujitegemea,, na iwe ndani ya uzio,,, maeneo ya (Temboni, Suka, kimara, kologwe, bucha,) Dar es salaam,,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji iphone 6+ bajeti ni 900k mwenye nayo jizolee mapesa fasta
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Nauza I phone 6 16GB kwa laki saba tu! Simu ni kama mpya, bado ipo locked kwa t mobile, kuifanya uitumie hapa TZ itakubidi utoe laki na nusu kwa watu wanao unlock simu. Hata humu JF wapo wengi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo goba kinzudi kwa mtenga 30m x 35m kipo vizuri kinafikika wakati wote bei M 17 maongezi kidogo yapo wasiliana 0715210298
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Habari zenu, Natafuta kitanda used cha 5x6, bajeti yangu ni laki na nusu. Pia vitu vidogo vidogo kama feni, mapazia, kapeti na ka TV. Namwanzilishia maisha mdogo wangu katoka bush! Nipigie kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Samsung Galaxy S2 Inauzwa Kwa Bei Ya Laki Na Nusu Niko Dar,,kama Uko Interested Ni Pm Au Nichek 0718864384
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wanaopenda wekeza katika Ardhi aidha kufuga au kulima au Kujenga nina eneo langu nauza kwa bei poa kabisa hekari moja kwa 6M ni nazo mbili eneo la Bwawani/Nduruma Mkoani Arusha. Pia lipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kupata tuition nzuri ya physics and Chemistry for form IV next year, student based in Dar es salaam. Thanks
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom