Kama unahitaji friji na upo Mwanza. Hii hapa, bado mpya na inapoza sana. Ni model ya BOSS.
Inahitaji laki 350 tu.
Nipigie / sms / whatsapp kwa namba hii 0756851815.
KARIBU
Nina Mil 7 Cash Nataka Kiwanja Arusha Eneo liwe karibu na huduma zote za kijamii na lisiwe karibu sana barabara Kuu wala Lisiwe mbali vile vile ni PM kama Unacho kiwanja.
Ninahitaji godown liwe maeneo kati ya Mikocheni, Kawe, Mwenge pia Mbagala. Liwe na eneo la 1 heka hadi eka moja na nusu. Budget 800000$.
Mmwenye kujua aje PM asanteni.
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na
Viyumba viwili yani chumba sebule,, choo cha kujitegemea,, na iwe ndani ya uzio,,, maeneo ya (Temboni, Suka, kimara, kologwe, bucha,) Dar es salaam,,
Nauza I phone 6 16GB kwa laki saba tu!
Simu ni kama mpya, bado ipo locked kwa t mobile, kuifanya uitumie hapa TZ itakubidi utoe laki na nusu kwa watu wanao unlock simu.
Hata humu JF wapo wengi...
Habari zenu,
Natafuta kitanda used cha 5x6, bajeti yangu ni laki na nusu. Pia vitu vidogo vidogo kama feni, mapazia, kapeti na ka TV. Namwanzilishia maisha mdogo wangu katoka bush! Nipigie kwa...
Kwa wanaopenda wekeza katika Ardhi aidha kufuga au kulima au Kujenga nina eneo langu nauza kwa bei poa kabisa hekari moja kwa 6M ni nazo mbili eneo la Bwawani/Nduruma Mkoani Arusha.
Pia lipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.