Simu ni used but ni grade A kwa maana ya kwamba ni kama mpya. Ina specification zifuatazo....
(i) NETWORK
TechnologyGSM / HSPA
(ii) Size5.0 inches
(iii) CPUQuad-core 1.2 GHz
(iv) Internal4 GB, 1...
Tunakuletea biriani safi na nzuri ukiwa dar popote kwa elfu tano(5000) kwa idadi yoyote..
Ukihitaji Wasiliana na mimi kwa namba hii 0719390083.
Hakika hutojutia
Nauza vitabu vifuatavyo vya kidato cha kwanza: The Real English( Kadeghe Michael), Geography Course Book for Secondary schools Book One( Tanzania Institute of Education), Kiswahili - Shule za...
Salaam wadau...ninatafuta Mfanyakazi wa Shamba la Mifugo.Lamsingi awe na elimu ya Mifugo hata certificate pia na uzoefu hasa wa kuku na magonjwa yao na Nguruwe pia.Ntashukuru kama kuna mtu anajua...
Nyumba inauzwa tabata haijakamilika yote ila imefika kwenye rinter,ina vyumba vitatu,sitting room,dinning,room,choo na bafu vya nje na vya ndani<vyoo vya nje vimekamilika>ina fremu moja...
Tunatoa huduma zifuatazo; - Tuition kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza mpaka cha sita - kufundisha QT na wanafunzi wanaorudia mitihani - kufundisha wanafunzi wanaojiandaa kuingia kidato cha tano...
Plot for sale/kiwanja kinauzwaa
kipo goba wilaya ya kinondoni dar es salaam
kipo karibu kabisa na barabara kuu inayounganisha mbezi ya kmara na mbezi beach
kina ukubwa wa METERS 20*30
bei ni...
Vitu tajwa hapo juu vinapatikana.
Brand ya touchmate na ni vipya kabisa ndani ya box. 0715490570
Pasi ya blue 27,000
Pasi nyekundu (ceramic) 36,000
Deep fryer...
Shamba linauzwa chanika mwanzomgumu lina ukubwa Wa ekari tano,bei ya kila ekari ni Tsh 2,500,000 maelewano pia yapo,na pia gari inafika mpaka shambani 0714621548.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.