Pata Matunda Aina ya Mapanshen.

Pata Matunda Aina ya Mapanshen.

Mamndenyi

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
44,635
Reaction score
64,551
Salamu sana wana jamii wote.

Marafiki wa Moshi, Arusha na mikoa ya Jirani kwa anayetaka matunda ya mapenshen, yanatumika sana kwa kutengeneza juice, awasiliane na 0712042967 au 0715885672 mzigo utakufikia hapo ulipo.

Karibuni.
 
Mapenshen ndio matunda gani ?Yana jina lingine?Passion fruit? Kama ndio unauzaje kwa kilo?
 
Muda mrefu nilidhani @mamdenyi ni mtu anaejitambua, kumbe upo level hizi?! Mapanshen!
 
...teh teh teh...kwetu uswazi ndo tunavyoyaita
...wakishua tulieni,si mmeelewa??
 
Salamu sana wana jamii wote.

Marafiki wa Moshi, Arusha na mikoa ya Jirani kwa anayetaka matunda ya mapenshen, yanatumika sana kwa kutengeneza juice, awasiliane na 0712042967 au 0715885672 mzigo utakufikia hapo ulipo.

Karibuni.
mapasheni ya huko mazuri sana kuliko tunayo kula huku pwani yale ya njano
 
Back
Top Bottom