King`amuzi cha ting nauza.

NALO LITAPITA

JF-Expert Member
Aug 25, 2011
333
90
Habari wakuu?ninauza bidhaa tajwa hapo.Iko katika hali bora kabisa.Nauza shilingi 50,000.Bidhaa hii dukani inauzwa 75,000 ni kile cha antena.Sababu ya kuuza ni kuwa kwa sasa ving`amuzi lazima ulipie.hata local chanels.Sasa familiya inapenda zaidi azam kwa ajili ya entertainment ninashindwa kuvihudumia vyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom