Mradi wa kuwawezesha wanawake kiuchumi kupitia tasinia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream Makers hatimaye umefika Mwanza.
Wataalamu wa maswala ya biashara na urembo wataendesha mafunzo wiki...
Mashine ya Kisasa ya kuchomea Kuku 12kwa mara moja inauzwa tshs780,000/= inatumia Umeme. Bado ipo kwenye hali nzuri kama inavyoonekana kwny picha
Nicheki hapa 0652 494919
Set ya Kiti ya 1. 1. 2 pamoja na meza inauzwa bei chee kabisa Kwa tshs 550,000/= maongezi yapo.
Kiti kimetumika Kwa miez 6 kwenye familia ndogo ya baba, mama na Mtoto wa miaka 3 Kwa Hiyo viti...
Salaam Natafuta toner/wino wa Xerox WorkCentre Pro 428 photocopy machine ambao part number yake ni
113R00634. Ukiipata nipate kwa namba 0754626616 Arusha.
Habari wa ndugu mimi nipo DSM nimekomaa mtaani kazihakuna nimefanya vibarua nimebahatisha kupata mil3 sasa nataka nijiajiri kwakazi za stationery, je kwa hiyo pesa naweza kupata msaada wa kununua...
Natafuta mkanda au video ya mazishi ya Nyerere.Mwenye nayo tunaweza kuongea biashara. Au anaefahamu ninapoweza kuipata anitumie email tinogobba2002@yahoo.com. Thanx.
Wadau naomben msaada wadau. natafuta drum unit ya photocopy mashine aina ya IR 1600. Nipo Dar es salaam. Tafadhali mtu yeyote anayejua anisaidie kwa kunielekeza mahali naweza kuinunua (zinapouzwa)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.