Katika kuelekea msimu wa sikukuu pata line hizi za wakala kwa bei nzuri.
Tigo pesa 240,000
Mpesa 140,000
Airtel 90,000
Utapata na vitabu vyake ukihitaji .
Karbuni.
0712191251
Ina vyumba viwili vya kulala, sebure na jiko. Ni nyumba mpya. Ipo Wazo Hill karibu na kwa Makamba. Kodi kwa mwezi sh 550,000. Kwa maelezo ya ziada au kuiona piga simu 0717114409
Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi na matumizi makubwa ya internet hasa mitandao ya kijamii,Nijuze inayo furaha kutambulisha mfumo ambao utaleta manufaa ya kiuchumi kwa...
Nipo Tanga mjini,natafuta cement ya simba kwa jumla kutoka kiwandani au kwa agent.
Mwenye nayo tuwasiliane kwa 0713 724242
Mchuuzi ahitajiki tafadhali.
Habari,wakuu! kuna nyumba nzuri inauzwa Ukonga Daressalaam,ina uwanja mkubwa wa sqr mtrs 1310 na visima viwili vya kisasa vya maji ya kunywa ukuta mzuri,maeneo tulivu na yakuvutia inauzwa...
Eneo lipo Kigamboni mwasongwa lina eka 5 jirani kuna shule, Eneo inapita barabara kubwa inatoka Mitwambi.
Linafaa kwa matumizi ya Shule za bording, kiwanda nk..
Hili halina dalali
Kwa...
Samahani wakuu naweza pata wapi incubator inayotumia mafuta ya taa ama solar yenye kubeba mayai 150 tuu pia bei ni tsh. ngapi kwa anae faham bei yake pia .PLEASE NAOMBA MSAADA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.