Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Cement ya Simba kwa Jumla.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika kuelekea msimu wa sikukuu pata line hizi za wakala kwa bei nzuri. Tigo pesa 240,000 Mpesa 140,000 Airtel 90,000 Utapata na vitabu vyake ukihitaji . Karbuni. 0712191251
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ina vyumba viwili vya kulala, sebure na jiko. Ni nyumba mpya. Ipo Wazo Hill karibu na kwa Makamba. Kodi kwa mwezi sh 550,000. Kwa maelezo ya ziada au kuiona piga simu 0717114409
0 Reactions
2 Replies
845 Views
Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi na matumizi makubwa ya internet hasa mitandao ya kijamii,Nijuze inayo furaha kutambulisha mfumo ambao utaleta manufaa ya kiuchumi kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
ram 4gb processor 2.66ghz quad core HDD 320gb na graphic card ya 1.5gb bei 200k nicheki 0718097972
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nimeshayauza asante jf mod nisaidie kufuta hii thread
0 Reactions
34 Replies
6K Views
plot ipo km tatu from kongowe na ni km mbili kutoka main road gari inafik a hadi kwenye eneo lipo tambarale
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nipo Tanga mjini,natafuta cement ya simba kwa jumla kutoka kiwandani au kwa agent. Mwenye nayo tuwasiliane kwa 0713 724242 Mchuuzi ahitajiki tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Noah inauzwa Dar es Salaam... bei ni milion 10 maongezi yapo kidogo sana, 0713806766.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari,wakuu! kuna nyumba nzuri inauzwa Ukonga Daressalaam,ina uwanja mkubwa wa sqr mtrs 1310 na visima viwili vya kisasa vya maji ya kunywa ukuta mzuri,maeneo tulivu na yakuvutia inauzwa...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Simu ina Mwezi mmoja tangu imenunuliwa dukani... Receipt yake, charge pamoja na box Lake vyote vipo
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Eneo lipo Kigamboni mwasongwa lina eka 5 jirani kuna shule, Eneo inapita barabara kubwa inatoka Mitwambi. Linafaa kwa matumizi ya Shule za bording, kiwanda nk.. Hili halina dalali Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
RAM 4GB HDD 320 GB PROCESSOR 2.5 i5 WIFI WEB CAMERA 3G BETRE LIFE 5 HRS WINDOW 8 BEI 480000 TU WITH WARRANTY 0782179882
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza flash Za 8 GB Kwa 10,000. Napatikana Dar Es salaam na contacts Zangu Za whatsapp ni 0778080031 zipo nyingi Karibu sana.
1 Reactions
81 Replies
7K Views
Line za wakala za tigopesa zinapatikana bei rahisi kabisa 230000Tsh karibu.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nahitaj PROJECTOR aina ya BENQ SH940 mpyaaa....kama unayo wasiliana na mimi +255765817854
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Samahani wakuu naweza pata wapi incubator inayotumia mafuta ya taa ama solar yenye kubeba mayai 150 tuu pia bei ni tsh. ngapi kwa anae faham bei yake pia .PLEASE NAOMBA MSAADA
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninaweza projector ya Sony imetumia masaa 700 kati ya 2000 ukihitaji picha naweza kukutumia nimeshindwa ku upload.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani kabla ya yote nipende kujua afya zenu wapendwa ila leo nmekuja na jambo moja tu natafuta gear ya samsung kwa yeyote anayeuza pliz ancheki.
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Nnauza samsung galaxy s3 mini bei 180,000 Simu iko vizur kabisa haina tatizo lolote
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Back
Top Bottom