Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jamani kabla ya yote nipende kujua afya zenu wapendwa ila leo nmekuja na jambo moja tu natafuta gear ya samsung kwa yeyote anayeuza pliz ancheki.
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Nnauza samsung galaxy s3 mini bei 180,000 Simu iko vizur kabisa haina tatizo lolote
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Ni asus hdd 500gb ram 4gb chaji masaa masaa ma4 kwa heavy use.. Bei:: 350000/= sababu ya kuuza ni shida na ela.. Ipo katika hali ya upya na Haina tatizo lolote.. 0765050591
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Bei ni mill 60 maongezi yapo na malipo kwa instalment si lazima yote 0714288996.
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Mwenye namba plz
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwanaume ndevu, kidevu bulb tupa kule. Mimi nina ndevu nyingi tatizo ni kipilipili alafu hazina mvuto. Kama kuna mtu anauza dawa ya kuzifanya ndevu zangu ziwe kama za rick Ross aje PM. Asantenii
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Brandnew Selfie Sticks for sale Blue, Black and Green colours for sale Price 16,000 Contact 0784780955
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Simu imeuzwa ahsanteni
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa eneo la goba kinzudi dsm ukubwa 30m x 35m bei ni M17 maongezi yapo kwa muhitaji wasiliana 0715210298
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Jamani habari zenu mwenye gari kati ya hayo tajwa hapo juu namba zianzie C au D tuzungumze biashara tafadhari nahitaji kwa haraka kabla ya Xmas.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF, Nimefungua ki-mini supermarket hivi karibuni lakini bado napata shida kidogo kununua baadhi ya vitu. Naombeni msaada wenu kwa mwenye kujua mahali nitapata maziwa ya kopo...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari Wana Jamii Forum, Haraka Digital Printing ni Kampuni ya Kitanzania iliyosajiliwa Tanzania na kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria za Tanzania. Tunajihusisha na Kufanya designing ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mimi Ni DALALI wa (a ) Kuuza miti iliyo tayari kupasua mbao. (b) Miti ya kuanzia mwaka 1,2,3,4,5,6,7 ya kuitunza mpaka ikiwa tayar kupasuliwa . (c) Aridhi tupu ya kupanda miti. (e) Mbao za...
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Location: Samora avenue, PPF house. Size :About 170 sqft. Contact: 0763 095182 as soon as possible kazi inatakiwa kuanza next week.
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Kwa mwenye uhitaji wa used desktops computer flat screen monitor na CPU Za IBM na HP compaq tuwasiliane kwenye whatsapp yangu 0778080031 ili tufanye Biashara. Zote ni used from USA
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninapokea oder ya maziwa kuanzia Lita 20 ni wa ng'ombe wa kienyeji nakamua mi mwenyewe hakuna maji naruhusu upime kama kuna maji napokea oda za mahotel na binafsi napatikana Kongowe . Lakini...
0 Reactions
3 Replies
970 Views
Natafuta kiwanja Goba chenye ukubwa wa meters kati ya 1500-2000.Kama kipo niambie kipo Goba sehemu gani, kina ukubwa wake halisi na bei yake hapa hapa jukwaani kabla hatujaingia PM. NB: Ukubwa...
0 Reactions
65 Replies
10K Views
Waungwana nauza kitanda double decker cha chuma chini ni futi 5x6 na juu futi tatu na nusu kwa sita. Ni kizuri na imara nauza pamoja na godoro lake la juu. Bei sh. 350,000/= pungufu tunaweza...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari waungwana na wanaJF wote! Ninaomba kufahamu bei ya king'amuzi cha Startimes chenye dish. Nipo mkoani Kigoma kimatembezi. Ninataka kurudi nyumbani Rwanda nikiwa ninamilike decoder hiyo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa masomo yote ya sekondari. Muda wa kusoma ni saa 10 jioni mpaka saa 11. Vipindi vipo mara tatu tu kwa wiki... Hivyo muda huo ni rafiki kwa wafanya kazi na watu wenye shughuli nyingi. Tupo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom