Ni asus
hdd 500gb
ram 4gb
chaji masaa masaa ma4 kwa heavy use..
Bei:: 350000/=
sababu ya kuuza ni shida na ela..
Ipo katika hali ya upya na Haina tatizo lolote..
0765050591
Mwanaume ndevu, kidevu bulb tupa kule. Mimi nina ndevu nyingi tatizo ni kipilipili alafu hazina mvuto.
Kama kuna mtu anauza dawa ya kuzifanya ndevu zangu ziwe kama za rick Ross aje PM.
Asantenii
Habari zenu wana JF,
Nimefungua ki-mini supermarket hivi karibuni lakini bado napata shida kidogo kununua baadhi ya vitu.
Naombeni msaada wenu kwa mwenye kujua mahali nitapata maziwa ya kopo...
Habari Wana Jamii Forum,
Haraka Digital Printing ni Kampuni ya Kitanzania iliyosajiliwa Tanzania na kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria za Tanzania.
Tunajihusisha na Kufanya designing ya...
Mimi Ni DALALI wa
(a ) Kuuza miti iliyo tayari kupasua mbao.
(b) Miti ya kuanzia mwaka 1,2,3,4,5,6,7 ya kuitunza mpaka ikiwa tayar kupasuliwa .
(c) Aridhi tupu ya kupanda miti.
(e) Mbao za...
Kwa mwenye uhitaji wa used desktops computer flat screen monitor na CPU Za IBM na HP compaq tuwasiliane kwenye whatsapp yangu 0778080031 ili tufanye Biashara. Zote ni used from USA
Ninapokea oder ya maziwa kuanzia Lita 20 ni wa ng'ombe wa kienyeji nakamua mi mwenyewe hakuna maji naruhusu upime kama kuna maji napokea oda za mahotel na binafsi napatikana Kongowe .
Lakini...
Natafuta kiwanja Goba chenye ukubwa wa meters kati ya 1500-2000.Kama kipo niambie kipo Goba sehemu gani, kina ukubwa wake halisi na bei yake hapa hapa jukwaani kabla hatujaingia PM.
NB: Ukubwa...
Waungwana nauza kitanda double decker cha chuma chini ni futi 5x6 na juu futi tatu na nusu kwa sita. Ni kizuri na imara nauza pamoja na godoro lake la juu. Bei sh. 350,000/= pungufu tunaweza...
Kwa masomo yote ya sekondari. Muda wa kusoma ni saa 10 jioni mpaka saa 11. Vipindi vipo mara tatu tu kwa wiki... Hivyo muda huo ni rafiki kwa wafanya kazi na watu wenye shughuli nyingi.
Tupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.