Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 458
Elfu 12 unachukua mkuu!? Hicho kifimbo baki nacho tu.Imetumika wiki 2, literally bado mpya. Jipangie Bei:
12...umemaanisha?Elfu 12 unachukua mkuu!? Hicho kifimbo baki nacho tu.
Yaani una utani wa ngumi ww mimi ndo maana huwa siombi ushauri JF nawashangaa sana watu kwa kuwa najua majibu nitakayopata[/QUOTE][QUOTEun à orat69, post: 15091224, member: 88859"]Elfu 12 unachukua mkuu!? Hicho kifimbo baki nacho tu.
Imetumika wiki 2, literally bado mpya. Jipangie Bei:
imekuibia?Nina mashaka na hiyo simu yako mkuu.
hebu iandike tena hiyo amount mkuu39,000 Cash bila maneno.....
nahis akili yako haijakomaahebu iandike tena hiyo amount mkuu
received.nahis akili yako haijakomaa
Mkuu unapo quote Signature yangu, hakikisha first letters zinakuwa Capital. Thanks..."Muha mmoja anaweza kubishana na abiria wa behewa zima la 3rd class toka Tabora hadi Kigoma"...