Kichwa cha habari kinahusika,kwa mtu yeyote aliyepotezana na nduguye/mgeni wake jana majira ya jioni maeneo ya stendi kuu ya mabasi ya Ubungo afike kituo cha Polisi External!
Ni binti wa miaka...
Asalaam wana jamii
natafuta nyumba ya kupanga eneo ya Ilala
kodi iwe kati ya 150,000 hadi 200,000 na nina kodi ya miezi 9
iwe na viumba viwili
maji na luku ya kujitegemea
Toyota Altezza inauzwa, mwaka 1999, engine capacity 1925, silver color, leather seats, ipo Dar es Salaam, bei 6.5 million haipungui. Maelezo zaidi piga 0713399109 au 0765448488.
Mileage :64,503 km. Imetembea Dar kwa mwaka mmoja tu toka inunuliwe. Namba inaanzia D.
Documents zote zipo. Picha zimeambatanishwa kwa maelezo zaidi.
Bei 10m.
Kwa mawasiliano zaidi, piga 0714-313362
Habari zenu wakuu,
Tunafanya training kwa wahasibu pia kwa wanafunzi wanaosoma masomo ya kihasibu, sisi tunafundisha jinsi ya kutumia QuickBooks.
Tunafundisha masaa 20, ambapo masaa 20...
Nauza kiwanja cha makazi kipo Singida mjini unyakumi karibia Na radio standard, maji Na umeme vimeshafika. Pia Huduma nyingine za kijamii zinapatikana kirahisi sana.
Bei ni milion tano mapatano...
asalaam wana Jamii
natafuta nyumba maeneo ya Ilala kodi iwe kati ya 150,000 na 200,000
Nina kodi ya miezi 8
iwe na viumba viwili na jiko
umeme wa kujitegemea
na maji
yoyote aliyekua anayo...
Unazijua copy ambazo huwezi kuzitofautisha na Samsung Note 4? Ninayo moja mpyaaa, nyeupe, nzito na yenye Specs zilizoshiba, inaenda kwa Laki 3 tu. Call 0653257566
Two in one design; kuna master moja na single moja, dining, sitingroom, kitchen na public toilet. Ukubwa wa 12M x14M inafiti katika plot ya 20x20M, design nzuri kwa kupangisha.
Kwa matumizi...
Habari?
Mimi ni mfanyabiashara wa kusambaza maziwa ya Tanga Fresh hapa Dar es Salaam. Kwa sasa nimepata route mpya ya kusambaza maziwa tajwa hivyo nahitaji gari kwa ajili ya kufanyia shughuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.