Heri ya Mwaka mpya wadau.
Nina kiwanja changu kiko maeneo ya Kigamboni, sio mbali sana toka ferry.
ukubwa ni sqm 465.
barabara ipo
kama upo interested karibu pm tubagain. bei maelewano. ahsante
Nnauza samsung galaxy j1 ace mpya
Sifa:
Internal memory 4GB
CAMERA 5 MEGAPIXEL
COLOUR BLUE
RAM 512 MB
FRONT CAMERA 2MEGAPIXEL
Nipigie kupitia 0758728258
Bei 250,000
Size: 20M×33M
Kiwanja Hakijapimwa ila eneo ni Planned kwa Makazi.
Kiwanja Hakina Mgogoro
Bei 12.5m tshs.
Mawasiliano: 0752953860
Kiwanja kipo Umbali wa Km1 kutoka ilipo Reca court hotel ama...
Kiwanja kinauzwa uzunguni mbeya tshs 250m ni eneo zuri la kujenga nyumba za kupangisha au makazi kwani makampuni mengi yànapenda kupanga nyumba maeneo ya uzungun. wasiliana nami 0754060350
Nyumba inauzwa sokomatola mbeya tshs 35m.sokomatola ni mji unaoanza kufufuka baada ya watu wengi kununua nyumba na kuzifanyia ukarabati. ni mji uliopangika vizuri kimitaa jirani na chuo cha...
Jipatie Laptop Used secondhand from Europe.
Zinapatikana kwa Bei tofauti kulingana na Capacity ya each Laptop.
Bei zinaanzia 480,000/-
Karibuni.
Happy New Year.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.