Nauza samaki aina ya kambale

Nauza samaki aina ya kambale

pettymarcel

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2012
Posts
2,161
Reaction score
883
Wapendwa wana Jf ninafuga samaki aina ya kambale ninao kama bwawa Moja nilitaka kuuza wote kwa pamoja mabwawa yangu yapo nje kidogo ya jiji la DSM I mean bagamoyo waweza kuja site yangu ukacheki mzigo ukikupendeza tunapatana papo hapo kwa mawasiliano just call 0763772636 asante
 
Shiling elfu 6000 mwisho 5000 per kg mkubwa karibu sana
 
Hahaha ata kamongo Ana ndevu mkuu@ step by step
 
Back
Top Bottom