Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Taasisi, makampuni, wafanyabiashara n.k Sasa tupo kwa ajiri yenu. Pata website yenye mwonekano wa kisasa na wakuvutia kwa bei nafuu kabisa. Mawasiliano: Website: www.luzwi.co.tz...
0 Reactions
0 Replies
562 Views
Nauza simu mpya ya Samsung, niPM namba nikucheki.
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Natafuta ofisi ya kupanga ya bei nafuu, barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuanzia maeneo ya Morocco hadi Posta. Offer yangu ni Tsh. 300,000/= kwa mwezi. Tuwasiliane kupitia: 0657878416.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nipatie laptop iliyonyooka nikupe pesa taslim 280,000. Niko Mwanza
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni mpya kabsa bei 140k call 0714702720
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Naomba kuuliza bei ya viwanja ipoje KIWASTANI maeneo ya Goba na Salasala ambapo si mbali na barabara kuu na kuna miundombinu muhimu mf umeme. Ukubwa wa kiwanja kwenye 30m Kwa 40m au juu/chini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina laki 8 nipo Mwanza nahitaji pikipiki
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Habari zenu wana JF, Kunakiwanja kinauzwa kipo Kerege mpakani pale na kipo kama 2km kutoka barabani. Ukubwa ni heka 5. Ila ukitaka heka moja unapata au hata robo heka unapata kwa sh 3.5m...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau tunatoa Reviews classes kwa wale wanaopenda kusoma ya CPA- review,kwa ratiba yako Final level, Intermidiate, na foundation level. masomo Performance management, Auditing, taxation ...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari Jf, nahitaji hiyo. Machine hapo juu na gharama yake.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau wa jf.. Nauza gari yangu corolla 111- model ya 1999, imported mwaka 2009, Engine size ni 1300cc, haijawai kupata ajali yoyote, mileage 290,000km inatembea haina tatizo lolote la...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Kiwanja kinauzwa Sehemu: Malamba Mawili Ukubwa: mita 23 kwa 15 Bei: Mil. 5 (5,000,000) Mazungumzo yapo Umeme, maji vipo, barabara iko vizuri had kwenye kiwanja NiPm tufanye Biashara
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Habari wanajamvi,kama ulikuwa unampango wa kuwafanya bishara ya jumla ya vinywaji (bia) na huna creti za kutosha,sasa waweza kuwasiliana nami kwa manunuzi ya creti hizo. Tuwasiliane kupitia:0716199297
0 Reactions
0 Replies
749 Views
Habari wanajamvi,kwa mwenye uhitaji wa creti za bia zenye chupa zake za tbl tuwasiliane 0716199297
0 Reactions
0 Replies
705 Views
Nauza brand new Vivitar Camera Tripod for Camcorder and Digital Camera. Namba zangu ni 0719934875 na 0752039770
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Its here The Darproperty Magazine January Edition. Packed with new property on the market and real estate news and insight, simply click The Magazine
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Mwenye taa za Opa zile za bampa la mbele anicheki 0717100777. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WanaJF, Tunauza shamba la chai la ukubwa huo lipo mkoa wa Iringa. Ukinunua unaanza kuvuna Mwenye uwezo na uhitaji aniPM Mpitagwa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
This house is currently under construction at Ununio. The development is scheduled for completion in February 2016. Sales range in price from Tshs 300mil to 350mil. The house have 4 bedrooms (3...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salon yakike iliyopo Sinza inauzwa, ikiwa na kila kitu ndani, sababu zakuuza, Mmiliki ameamua kurudi kwao Congo DRC, Maana Magufuli hataki tena wageni. Sifa za saloni, inakila kitu, namaanisha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom