kwa graduates waliojiandikisha kufanya mitihani ya certificate na professional level review zinaanza leo , kituo ni E school of banking & microfinance, kipo shule ya kisutu posta, dsm...nb kwa...
Kwa wakazi mbeya, ninayo Gari Noah, nzima , hausumbui, no C, natafuta watu Wa kuwakodishia wanapokuwa na safari zao za pamoja kuanzia MTU mmoja hadi 7 kwenda sehemu yoyote ndani ya jiji la mbeya...
Habarini Great Thinkers,
Nina shida na nyumba ya kupanga
Mkoa :Morogoro
Mahali: Kihonda/sabasaba/bigwa
Mahitaji: Iwe na vyumba viwili/vitatu kimoja kiwe master,jiko sebule,dinning na iwe ndani...
Habari,
Mada inajieleza hapo juu,natafuta watu wenye maduka ya jumla jumla ya nguo spesho,vipodozi,electronics(simu+vifaa vyake,solar panels+vifaa vyake,tv,radio) wenye malengo ya kuwafikia wateja...
This is the beautifully 2 furnished en suite House at Kawe Beach area, OCEAN FRONT newly remodeled with all amenities and a HUGE Balcony from landscaped garden, has 2 large bedrooms and 2 full...
Pata raba kwa jumla 23000, rejareja 27000 tu, mkoani unatumiwa, gharama za usafirishaji ni zako mteja. Dar home delivery kwa anaechukua kuanzia pair 2 na anachangi nauli 1000.
0629586817
Kama unahitaji chumba au Nyumba ya kupanga maeneo ya Mwenge, Mbezi au wazo wasiliana nami, Chumba self, chumba sebule, vyumba viwili na kuendelea, bei zinatofautiana kulingana na mahali na ubora...
OPTIMAX BUSINESS CONSULTING FIRM
kampuni ya OPTIMAX, inawatangazia wadau wote wanaohitaji huduma zifuatazo;
1.Kufanya survey(tafiti ndogo) za masoko kwa wale wanaotaka kuanzisha biashara au...
Hello JF
Hope you all doing great and we made to finish the first month of the year,
We are looking good agents and wholesalers in Dar es Salaam and upcountry
Kindly contact us for more info.
Cheers
Mimi Ni msanii muda mwingi nauza kazi zangu online worldwide, nikaona sio vibaya nijaribu kupost thread hapa kuhusu kazi za Sanaa, kujaribu kutafuta soko la nyumbani, nachora African paintings kwa...
Habari wana jf,nauza shamba langu eka 4,shamba lipo maeneo ya mbuyuni barabara kuu iendayo simanjiro,shamba lipo pembeni ya barabara kuu iendayo simanjiro.
Shamba lipo umbali wa kilometa 25...
Bei jumla ni 40000, rejareja ni 45000, mkoani unatumiwa ila gharama za utumaji ni zako mteja, Dar home delivery kuanzia handbag 2, na unalipia 1000 ya nauli.
Ulipo tupo 0629586817
Jamani naomba anaejua bei za miti ilio na maeneo wanayouza hapa Dar es Salaam, Iringa au mikoa ya karibu na Dar es Salaam nitashukuru sana, nahitaji mingi kidogo..
Miti na diameter 120-160 urefu...
habari za jioni wadau!!
naomba msaada kwa mtu ajue soko la chengachenga ndogo za green toumaline hasa kenya ambapo nmepata tetesi kua ilo soko lipo. ila kwa Tanzania wanaitaji sana ya chekecho...
Je unahitaji ushauri kuhusiana na tafiti za kielemu (academic) kuanzia ngazi ya diploma, degree na masters na zisizo za kielimu?
Tafadhali wasiliana nasi. Gharama zetu za ushauri zinaanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.