Taasisi, makampuni, wafanyabiashara n.k Sasa tupo kwa ajiri yenu.
Pata website yenye mwonekano wa kisasa na wakuvutia kwa bei nafuu kabisa.
Mawasiliano:
Website: www.luzwi.co.tz...
Natafuta ofisi ya kupanga ya bei nafuu, barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuanzia maeneo ya Morocco hadi Posta. Offer yangu ni Tsh. 300,000/= kwa mwezi. Tuwasiliane kupitia: 0657878416.
Naomba kuuliza bei ya viwanja ipoje KIWASTANI maeneo ya Goba na Salasala ambapo si mbali na barabara kuu na kuna miundombinu muhimu mf umeme. Ukubwa wa kiwanja kwenye 30m Kwa 40m au juu/chini...
Habari zenu wana JF,
Kunakiwanja kinauzwa kipo Kerege mpakani pale na kipo kama 2km kutoka barabani. Ukubwa ni heka 5. Ila ukitaka heka moja unapata au hata robo heka unapata kwa sh 3.5m...
Wadau tunatoa Reviews classes kwa wale wanaopenda kusoma ya CPA- review,kwa ratiba yako
Final level, Intermidiate, na foundation level.
masomo Performance management, Auditing, taxation ...
Habari wadau wa jf..
Nauza gari yangu corolla 111- model ya 1999,
imported mwaka 2009,
Engine size ni 1300cc, haijawai kupata ajali yoyote,
mileage 290,000km inatembea haina tatizo lolote la...
Kiwanja kinauzwa
Sehemu: Malamba Mawili
Ukubwa: mita 23 kwa 15
Bei: Mil. 5 (5,000,000)
Mazungumzo yapo
Umeme, maji vipo, barabara iko vizuri had kwenye kiwanja
NiPm tufanye Biashara
Habari wanajamvi,kama ulikuwa unampango wa kuwafanya bishara ya jumla ya vinywaji (bia) na huna creti za kutosha,sasa waweza kuwasiliana nami kwa manunuzi ya creti hizo.
Tuwasiliane kupitia:0716199297
This house is currently under construction at Ununio. The development is scheduled for completion in February 2016. Sales range in price from Tshs 300mil to 350mil. The house have 4 bedrooms (3...
Salon yakike iliyopo Sinza inauzwa, ikiwa na kila kitu ndani, sababu zakuuza, Mmiliki ameamua kurudi kwao Congo DRC, Maana Magufuli hataki tena wageni.
Sifa za saloni, inakila kitu, namaanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.