Pata handbags za hadhi yako

Pata handbags za hadhi yako

Apologise lady

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2013
Posts
5,980
Reaction score
3,115
Bei jumla ni 40000, rejareja ni 45000, mkoani unatumiwa ila gharama za utumaji ni zako mteja, Dar home delivery kuanzia handbag 2, na unalipia 1000 ya nauli.

Ulipo tupo 0629586817
 

Attachments

  • 1454180273122.jpg
    1454180273122.jpg
    53 KB · Views: 54
  • 1454180314693.jpg
    1454180314693.jpg
    68.7 KB · Views: 46
  • 1454180352675.jpg
    1454180352675.jpg
    37.4 KB · Views: 52
  • 1454180377373.jpg
    1454180377373.jpg
    69.3 KB · Views: 44
  • 1454180400563.jpg
    1454180400563.jpg
    54.2 KB · Views: 47
  • 1454180432706.jpg
    1454180432706.jpg
    71.6 KB · Views: 43
  • 1454180500350.jpg
    1454180500350.jpg
    67.9 KB · Views: 43
YSL ni 40,000 kweli?

Hizo lazima zitakuwa knockoffs tu.
 
YSL ni 40,000 kweli?

Hizo lazima zitakuwa knockoffs tu.
Kweli unamiza kichwa kujua ni bidhaa gani anaweza ku aford Mtz???


handbags ya 150000+ uweke hapa si zitajaa stoo, na ndio mwanzo wa kubaki hstoria.
 
Uwiiiiiii babe upitage kwenye huu uzi basi jamani uninunulie japo 1 tu!
Hivi cuzoo charty hunaga ugonjwa wa handbags kama mimi?
Hebu njoo usafishepo macho.
 
Uwiiiiiii babe upitage kwenye huu uzi basi jamani uninunulie japo 1 tu!
Hivi cuzoo charty hunaga ugonjwa wa handbags kama mimi?
Hebu njoo usafishepo macho.
Mfyuuuu!!

Hebu nunua huko, baby huyo labda kazaliwa na kakulia nje sio tz ndio anaweza nunua hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom