kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 3,072
- 7,514
Habarini Great Thinkers,
Nina shida na nyumba ya kupanga
Mkoa :Morogoro
Mahali: Kihonda/sabasaba/bigwa
Mahitaji: Iwe na vyumba viwili/vitatu kimoja kiwe master,jiko sebule,dinning na iwe ndani ya fence,inafikika kwa gari,iwe na umeme.
Budget: Sh. 150,000 - 180,000/mwezi
Pia nahitaji chumba cha biashara maeneo ya mjini
Aina ya Biashara : Nguo za watoto
Budget: Sh. 80,000 - 120,000/mwezi
Mwenye taarifa anipm kwa mazungumzo. Natanguliza shukrani.
Nina shida na nyumba ya kupanga
Mkoa :Morogoro
Mahali: Kihonda/sabasaba/bigwa
Mahitaji: Iwe na vyumba viwili/vitatu kimoja kiwe master,jiko sebule,dinning na iwe ndani ya fence,inafikika kwa gari,iwe na umeme.
Budget: Sh. 150,000 - 180,000/mwezi
Pia nahitaji chumba cha biashara maeneo ya mjini
Aina ya Biashara : Nguo za watoto
Budget: Sh. 80,000 - 120,000/mwezi
Mwenye taarifa anipm kwa mazungumzo. Natanguliza shukrani.