Ninataka kuanza mradi wa kufuga kuku wa mayai ninatafuta mtaalamu anayejua naman ya kulisha na kujenga mabanda yao. Naomba awasiliane nami kwa no.0713 68 96 65
Wakuu kwenda. Kuna jamaa yangu amenipa tenda ya kusfirisha mizigo Mingi ya kwenda Congo Rwanda Zambia. Pia Nina mizigo ya local Mingi tu. Kwa atakayehitaji kazi Tume email kwenda raiatz@yahoo.com...
Siku hizi kuna magonjwa ya ajabu sana ambayo zamani hayakuwepo,, mfano BAWASILI (kuota nyama sehemu ya haja)ni tatizo linalosumbua wengi mpaka wanashindwa hata kutembea .na sasa kuna wanawake...
Habari zenu wakuu,
Natafuta vifaa vya saloon ya kiume (barber shop) hasa viti either used au brand new, ilimradi bei iwe nzuri.
Kwa mawasiliano ni 0767525054 au PM.
I Currently work for a company that sends out a 3-4 High Quality! trade Alerts on a daily basis to its registered members and only a few minutes a day is required to manage and execute the trades...
Galaxy Note 5
Dual Line
32GB Storage
4GB RAM
Black Saphire Color
In Excellent Condition
With box and all original accessories
Price: TShs. 1,200,000
Call 0759 777194
Mwenye mawasiliano nae naomba, Kuna Trey za mayai zaidi ya 300 kwa wiki alikua anahitaji, pia kwa yeyote atakaye atakaye hitaji mayai trey kianzia 150 kwa wiki a wasiliana nami kwa 0713415537...
Habari yenu JF members,
Tunatafuta wateja wa jumla wa samaki wabichi aina ya sato na sangara kutoka Mwanza. Sangara wanaukubwa wa kuanzia 50cm na Sato 25cm.Sangara 1kg pamoja na usafiri Tshs 6000...