Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta kuingia katika biashara na Kampuni iliyo safi ya Kukodisha Magari, nataka tufanye wote hii biashara pamoja. Tuwasiliane Tafadhali +255769711544
0 Reactions
3 Replies
1K Views
G
0 Reactions
4 Replies
828 Views
Nauza Asali mbichi ya nyuki wadogo, haijachakachuliwa ipo kwny dumu la lita moja sealed... Bei ni tsh. 15000/= per litre! Unaweza kupata lita nyingi kadri utakavyo, nipo magomeni dar es salaam!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ubuyu wa Zanzibar unapatikana Tsh 1000 kwa packet. Delivery fee 3000 kwa dar. Karibuni
0 Reactions
2 Replies
5K Views
  • Closed
Ipo vizuri haina tatizo. Nimeshindwa kuifanyia kazi, hivyo ni vema niiuze. Kama utaihitaji ni-pm
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nyumba imeshapata mpangaji. Asanteni wadau Attached Files:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A.alleikhum wadau,kiwanja kinauzwa kwa bei poa Mahala:Sinza Madukani/K'ndoni (Dsm) Ukubwa:40×40 (vyumba viwili vpo ndani ya eneo hlo) Bei: 180M (Maelewano yapo) Mengineyo:Hati na Nyaraka muhimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ofa ya kiwanja Nyerere road mkabala na airport. Ukubwa karibu 2255 square metres ina fence na gate. Hati ya makazi ipo. Ina nyumba ya kawaida ya vyumba vinne. Ideal kwa stoo, parking, kujenga go...
0 Reactions
0 Replies
708 Views
IPhone 5S 32 GB(Memory kubwa) Gold Colour For Only $300 Contact 0689 222222
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari yenu JF members, nina shida ya laki 5 mwenye nayo naomba anikopeshe hata kwa riba nitashukuru sana. Nitairudisha baada ya 2wks.
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Kwenu wadau, Kwa mtu yoyote or small firm/ entity kama unahitaji Pos(point of sale) system ambayo waweza integrate na Efd au ukatumia just normal slip printer basi wasiliana na mim ili nkupe...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Kama unahitaji nicheki 0652740927
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Kuna mtu humu ana deal na hiyi biashara ya kujaza upepo na kuziba pancha?Shida yangu ni kujua bei ya ile mashine ya ku press tairi na compressa kubwa na mchanganuo kidogo wa biashara...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu kuna dada anauza simu yake sony experia laki 3 haina tatizo lolote ana shida ya pesa tu
1 Reactions
2 Replies
879 Views
Tunauza cement jumla ,tutakulipa riba nzuri hata kila mwezi kwa mkataba wa mwaka,0762576878
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naiuza ipo moja na inafanya kazi ipo barabarani ipo vizuri sana engine yake isipokuwa body lakufanyia marekebisho kidogo kama vile turubai kununua lakini ni nzima sana. Sababu yakuuza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
kwa wale wote wanaoojenga na wapo kwenye hatua za kuweka fremu za milango wanione. Fremu zinapatikana kwa gharama ya sh. 110,000 tu. Mbao inayotumika ni mninga pure . Unatoa order yako pamoja na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kioo cha computer yangu kimepata ufa, Nahitaji mwenye uwezo wa kunitaftia kioo pekee (Display) LCD-Flat Screen 19 Inches, ANIPIGIE SIMU TUONGEE BIASHARA: 0652416300 KAZI ZIMESIMAMA: Natumia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunakata viwanja maeneo haya:- Bunju km 1 kutoka bagamoyo road 30 kwa 40 bei 16.5ml Mwanzoni mwa mapinga mbele kidogo ya bunju B km 2 kutoka bagamoyo road 20 kwa 25 bei 7ml Goba karibu na stand...
1 Reactions
3 Replies
902 Views
Salam wadau...nimeuza gari langu na nimeagiza lingine nahitaji gari ya kukodi kwa bei nzuri (fair) kwa wiki 3...kuanzia carina...premio..vits...gx100..ilimradi iwe nzima tu.Naomba mwenye nalo au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…