Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza zote kwa bei ya jumla. Niliagiza ili kuziuza ila sasa muda unakua mdogo nashindwa kufuatilia nauza kwa bei ya jumla 104000 tuu niziuze zote au nipen ofa zenu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninatafuta frame ya duka kuweka biashara ya tigo pesa na Mpesa eneo lenye mzunguko wa watu wengi msaada wadau....
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Weka bei ya kwa mwezi. Namkataba wamuda wakulipa. Vyumba 2 nasebule bilakusahau fensi. Choo chandani au kushirikia yote sawa. Temeke Boko, Njinjo, Usalama, Wailesi, Taifa, Yombo Buza,Temeke...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Je, unahitaji kusanifiwa nembo, vocha, makava ya vitabu, business cards, business documents na vingine vingi? Tembelea kwenye tovuti yetu ili uchague utakacho kwa buku tano tu: www.bukutano.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza laptop ainaya Mcbook air is in good condition OS X Intel® Core™ i5 processor Memory: 4 GB Hard drive: 128 GB SSD Battery life: Up to 9 hours battery life
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndugu toleo jipya la Epson L850 lina sifa kama za Epson Px660 wino wa nje,scanner,copier, printer, wino wa nje wa kumimina, ubora wa picha wa hali ya juu. Bei ni 1.4m tu. Wahi zipo chache ni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Computer hp core i5 processor speed 3.3ghz(4cpu),6gb ram,dvd writer,video card,hdd 250....mashine imesimama no scratches....bei 400k maongezi yapo nicheck hapa 0655090000
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Bei: 5,500,000 Ipo vizuri (kazini), simu : 0715859923, Vibali vyote vimelipiwa, Mileage : 146,616 km Engine capacity : 657 Number : T487 CTX Njoo na fundi wako.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, Natafuta flatbed trailer used au mpya ambayo ipo Dar es salaam. Maelezo ya ziada; Flatbed trailer used au mpya Air suspension BPW axles 40 ft Super single tyre Iwe ya OZGUL au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jipatie Viwanja Sasa kwa bei nafuu kabisa Ambavyo Vipo kwenye maeneo mazuri ya ujenzi Pia viwanja vinakopeshwa utaweza kulipa kidogo kidogo ndani ya miez 6 Ukubwa wa viwanja ni 20*20...
0 Reactions
93 Replies
13K Views
Habari wakuu, ninauza huawei tajwa hapo juu. -Imetumika kwa miezi 10 -Ipo ktk hali nzuri kabisa -Ni simu Original -Nakupa na Chaji yake niliyonunulia -Ni simu yangu Binafsi wala si ya mtu wala...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nautafuta vifaa kwa ajili ya salon ya kiume, vifaa hivyo ni kama vile viti, sterilizer machine, kiti cha kuoshea n.k. mimi niko Morogoro, karibu tufanye biashara
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau; Kiwanja chenye ukubwa wa eneo tajwa hapo juu kinachopatika Mbezi mwisho kinauzwa. Bei ya mauzo ni Sh 4,500,000 (Negotiable) mazungumzo yanaruhusiwa. Kwa yeyote mwenye uhitaji ani...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta incubator kwa ajili ya mayai 200, automatic, electric. Niko Dar Kisukuru Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niko Dar , piga Sim namba 0718295182 au weka bei hapa niinunue fasta!! Jigo
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Nauza Crv ya mwaka 1999, inainsuarence na road licence mpaka july ipo katika hali nzuri bei ni 5 m tu.
0 Reactions
3 Replies
987 Views
Wanajf!! Ninatafuta nyumba ya kupanga kwa ajili ya makazi, kwani nimehamishiwa hapa Arumeru, Arusha. Nyumba iwe ya vyumba vitatu (kimoja kiwe master bedroom) vya kulala, sitting, dining etc...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu zangu wa www.jamiiforums.com Nimepata uhamisho, kuelekea Arumeru. Ofisi yangu ipo mitaa ya Leganga Natafuta nyumba, mwenye access na nyumba ya kupangisha ktk mitaa ya Leganga, mjimwema...
0 Reactions
1 Replies
992 Views
Wadau amani iwe kwenu Nahitaji kumnunulia shemeji yenu gari hata kama ni ya kumvua mtu, budget yangu ni ndogo ndio maana nahitaji ya mkononi Nahitaji passo au vits au swift au toyota ist, hivyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
- Napenda kuwafahamisha my people here kwamba as a part of Celebrations ya my Social Media Company kutimiza miaka 3, tutakuwa na Semina maalum ya "KUZALIWA MASIKINI SIO ADHABU YA KIFO" ambayo...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…