IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,314
Wadau nahitaji bango la biashara liwe lenye taa kwa ndani. inamaana wakati wa usiku linawaka. kwa yeyote anaejua ni wapi wanatengeneza anijuze. pia nitapenda kujua bei ya bango la urefu wa 150cm na kimo 80cm. Ni PM haraka tufanye biashara