Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza gari toyota harrier gari ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote. Gari ipo wilaya mpya ya busega kwa mawasiliano zaidi simu na.0756653128
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninasafirisha na kuuza (bei ya jumla) samaki aina ya sangara kutoka mwanza kwenda mikoa ya Shinyanga, Singida, Dodoma, Morogoro na Dar es salaam Bei ni Sh 5,500 kwa kilo Kiwango cha chini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Niko Arusha sombetini ngusero nauza mchele na karanga kwa bei ya jumla karibuni kwa huduma zangu ujipatie bidhaa bora yenye thamani ya pesa yako wajulishe ndugu jamaa na marafiki wakazi wa Arusha...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ninahitaji banda la biashara (Vinywaji na Chakula) katika viwanja vya maonyesho vya Sabasaba; Je nifuate utaratibu upi niweze kupata? na kama kuna anayejua gharama zake nitashukuru pia.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu. Natafuta shamba la kukodisha ili nifuge kuku. Liwe la hekari tatu, pia liwe Dar au nje ya Dar (Pwani) ila isiwe mbali na Dar es salaam. Mwenye nalo aniPM tafadhari...
0 Reactions
1 Replies
816 Views
CDS ni kampuni ya usafirishaji na usambazaji wa mizigo iliyojipatia umaarufu duniani kulingana na kufikisha huduma popote muhusika alipo yaani door to door services.Huku ikishirikiana na kampuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TRACTOR ZINAUZWA tractor zinauzwa zipo katika hali nzuri karibuni MASSEY FERGUSON 178 bei ni milioni 19.5 tsh FORD 4000 bei ni milion 17.5 tsh. zipo Mbweni, Daresalaam mawasiliano zaidi 0714242879
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Pata simu kwa bei poa kabisa Samsung Galaxy S3-350k S4-395k S5-496k S6-1.24m S6 edge - 1.55m S6 edge plus - 1.78m Samsung Galaxy Note 1-292k Note 2-393k Note 3-532k Note 4-750k Note...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Pazia nzuri za kisasa Upana 1.5m Urefu 3m #35,000/- 0713691101/0769633450 Free delivery in dar Tunatuma mikoa yote
1 Reactions
0 Replies
9K Views
Kuelekea pasaka kuku hupanda bei chukua hawa kwa ajili ya sikukuu.. bei 20,000..nipigie 0714045080...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wale wataalam wa kushona suti za kileo na style zote utakazo taka njoo tukuvalishe upendeze iwe ni harusi au sherehe yoyote ile tutakushonea suti nziri zenye mvuto kwa garama nafuu tunaanzia laki...
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Wapo dar bei 20,000/=kwa kila mmoja.. nipigie 0714045080. Karibu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kina hati miliki ,kina ukubwa wa miraba 1516 bei maelewano . Nipigie kwenye number tufanye biashara Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa wale wanaosumbuliwa na meno mabovu,meno yaliyooza,meno yenye rangi ya njano,meno yenye rangi iliyosababishwa na maji,harufu mbaya mdomoni,fizi kutoa damu na kupata ganzi,meno kutoboka pamoja...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa kipo kitunda machimbo kina vyumba viwili call 0713669533. Area 38 meter x 36 meter mwisho wa magari ya kitunda machimbo.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nmesukumwa kuandika hii thread baada yakushudia binafsi jinsi kwa kweli dawa hii inafanya kazi.kwa wale wote wanaosumbuliwa.na kifua kama pumu na wanashindwa kuhema au unandugu anashindwa kuhema...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mashamba makubwa yanauzwa mkoani Morogoro katika wilaya ya Kilosa eneo la Msowelo,kwa mwenye kuhitaji naomba ani PM tafadhali
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Toyota kluger In a good condition Price 18.5m Negotiable Call 0656436662 For more infor and more cars just call 0656436662 Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WAPENDWA NAUZA SIM MARIDADI SANA AINA SAMSUNG GALAXY BEAM3. HII SIM KAMA UNAVOIONA PICHA HAPO INA PROJECTOR NA UNAWEZA KUNGALIA MOVIE UKUTANI YENYE UPANA WA MITA 2 NA ZAIDI. BEI NI TSHS...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Imetumika mkazi miwili (2) BEI 150,000 SIMU 0657750930
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…