House4Rent @ Kigamboni Mikwambe

Akiri

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,445
214
Nyumba ipo 16 toka feri ya magogoni na 150meters toka barabara kuu, ina vyumba 2 vikubwa pamoja na sitting room kubwa kama inavyoonekana , jiko, choo, na bafu, kisima kipo, umeme wa uhakika upo, kuna gererator ya 1 kva. Pia nje kuna green house .
bei ni 350,000/= kodi ya miezi 6.
Tuwasiliane 0657145555.
mi ni dalali wa nyumba hii.

mikwambe 1.jpg
Mikwambe 2.jpg
mikwambe 3.jpg
Mikwambe 4.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom