specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 619
Unamaanisha quad bike?Habari wana bodi,
Naomba kujua ni wapi kwa DSM nitapata piki piki zenye matairi manne au matatu kwa ajili ya mizunguko yangu mjini....
Nataka ikiwa mpya au Used sio mbaya.....
(Picha zinafuata)
Daah..kama ina matairi matatu au mamne poaNunua TOYO
Mkuu kama una no zao nitumie niwachek maana kwasasa nipo mkoani mkuu...Nenda k/koo nyerere road opposite na nakumat kuna duka zinapatikana unazotaka.