Habari za leo?
Kuna nyumba inauzwa maeneo ya Whiterose,Sakina-Arusha.
Nyumba ina
Vyumba 4 vya kulala (kimoja self contained)
Public toilet/bathroom
Sebule
Dinning room
Ina parking ya kutosha...
Habari za asubuhi wakuu?
Nina gari kubwa (Semi tani 30)zinazotoka Moshi Mjini kuja Dar mara 2 kwa wiki,
Naomba kama kuna dalali au mtu yoyote mwenye mzigo wake unaokuja dar tuwasiliane,bei zangu...
Habari ya leo wana JF,
Kwa yeyote anaehitaji kufungua biashara ya Bar/Pub basi hili bandiko linamfaa.
Ni Pub ambayo bado inafanya kazi hapa Tabata Segerea. Roughly inahitajika kama 5mil Kama uko...
Kama una iphone 5s na ina lock ( ICLOUD LOCK) tunabadilisha kwa Tsh 250000 kwa kuacha ya kwako na kukufungia mashine nyengine (MOTHER BOARD) ambayo ipo safi na inapiga kazi
CONTACTS
email...
Nauza kiwanja kipo kip Tegeta A unpitia mbezi mwisho , kiwanja kina ukubwa wa 15 kwa 20 kina msingi wa vyumba vitatu na sitting room! bei milion 2 na laki 5,, 2,500,000/=
mawasiliano 0712846799
Habari yenu JF members, nina shida ya 1 million mwenye nayo naomba anikopeshe hata kwa riba nitashukuru sana. Dhamana ninayo kiwanja ila kipo Mwanza kina hati miliki. Please naombeni msaada wenu.
hello guys habari za kwenu nilikuwa natakujua bei ya gari aina fuso used ni sh. ngapi? pia kama kuna dalali anataka tufanye naye kazi anaweza kuwasiliana na mimi no. 0622645536 eneo nipo moshi mjini.
Ni LG original
42'' FLAT SREEN, new model, thickness yake ni zile nyembamba picha za HD inauzwa 750,000/=
Dukani ni 1,3000,000/=
Jamaa anauza sababu alipewa zawadi TV kubwa zaidi ya 51" kwenye...
Chumba seble na choo kuna fance na geti bei yake kodi kwa mwezi mmoja ni sh 150,000 na kiasi hiki unaweza kulipia kuanzia miezi 3,6 au mwaka pia
Maelezo mengine na ukitaka kuiona piga...
Ndugu zangu niko morogoro mjini,nahitaji ng'ombe jike wa kisasa au chotara,awe anakaribia kuweza kupandishwa....ukinitajia na bei itakuwa vizur sn,...maoni na ushauri juu ya mada yanakaribshwa...
Natumai ni wazima,
Wakuu naulizia duka la simu za iphone kwa hapa Dar, kwa sababu kuna wauzaji wengine "unaponunua simu kwao hujihisi comfortable" kwa mfano,
Kuna hawa wauzaj wa iphone kwa bei...
Zuri
Kampuni ya Zuri ilio na makao yake mjini Hong Kong imezindua rasmi simu aina ya Smartphone katika soko la Tanzania.Kampuni hiyo pia imeisajili kampuni ya DESPEC kama msambazaji rasmi wa simu...
wapendwa
Ni simu gani ya badget ya wastani around 300k yenye speed kubwa ...nina maanisha inayoweza kuongea skype bila shida (kama mtandao ni mzuri) na Betrii nzuri pia
Asanteni
The building is now 70 percent complete and on track to be finished in ... When the house is complete, it will be sold for Tshs 300mil. The building have 4 bedrooms, 2 rooms en suite. To view call...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.