Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za leo? Kuna nyumba inauzwa maeneo ya Whiterose,Sakina-Arusha. Nyumba ina Vyumba 4 vya kulala (kimoja self contained) Public toilet/bathroom Sebule Dinning room Ina parking ya kutosha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Iwe slim design, 4gb ram, hdd 350-500gb, screen isizidi -14inch, i3> /2.3ghz>., Bajeti yangu 300-350, iwe ktk hali nzuri. Mawasiliano 0789095484. Nitumie sms au piga ila usi-whatsapp
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Habari za asubuhi wakuu? Nina gari kubwa (Semi tani 30)zinazotoka Moshi Mjini kuja Dar mara 2 kwa wiki, Naomba kama kuna dalali au mtu yoyote mwenye mzigo wake unaokuja dar tuwasiliane,bei zangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ya leo wana JF, Kwa yeyote anaehitaji kufungua biashara ya Bar/Pub basi hili bandiko linamfaa. Ni Pub ambayo bado inafanya kazi hapa Tabata Segerea. Roughly inahitajika kama 5mil Kama uko...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama una iphone 5s na ina lock ( ICLOUD LOCK) tunabadilisha kwa Tsh 250000 kwa kuacha ya kwako na kukufungia mashine nyengine (MOTHER BOARD) ambayo ipo safi na inapiga kazi CONTACTS email...
0 Reactions
0 Replies
997 Views
Nauza kiwanja kipo kip Tegeta A unpitia mbezi mwisho , kiwanja kina ukubwa wa 15 kwa 20 kina msingi wa vyumba vitatu na sitting room! bei milion 2 na laki 5,, 2,500,000/= mawasiliano 0712846799
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari yenu JF members, nina shida ya 1 million mwenye nayo naomba anikopeshe hata kwa riba nitashukuru sana. Dhamana ninayo kiwanja ila kipo Mwanza kina hati miliki. Please naombeni msaada wenu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bajeti yangu ni 7M..Natafuta kiwanja kiwe Mbezi ya kimara,Kibamba na maeneo mengine karibu na Barbara ya morogoro..Ushauri napokea pia
0 Reactions
17 Replies
2K Views
hello guys habari za kwenu nilikuwa natakujua bei ya gari aina fuso used ni sh. ngapi? pia kama kuna dalali anataka tufanye naye kazi anaweza kuwasiliana na mimi no. 0622645536 eneo nipo moshi mjini.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ni LG original 42'' FLAT SREEN, new model, thickness yake ni zile nyembamba picha za HD inauzwa 750,000/= Dukani ni 1,3000,000/= Jamaa anauza sababu alipewa zawadi TV kubwa zaidi ya 51" kwenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Chumba seble na choo kuna fance na geti bei yake kodi kwa mwezi mmoja ni sh 150,000 na kiasi hiki unaweza kulipia kuanzia miezi 3,6 au mwaka pia Maelezo mengine na ukitaka kuiona piga...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Fremu ya biashara tandika inapangishwa kwa kiasi cha 200,000/= Laki mbili elfu Kodi ya miezi 6 inapokelewa. Kwa mawasiliano zaidi piga 0657 13 13 66
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu niko morogoro mjini,nahitaji ng'ombe jike wa kisasa au chotara,awe anakaribia kuweza kupandishwa....ukinitajia na bei itakuwa vizur sn,...maoni na ushauri juu ya mada yanakaribshwa...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Samahani alibaba bei zao zikiandikwa hivi us $ 1,000.00 - 100,000.00 usahihi wa bei kwa bidhaa hiyo ni upi? naomba kueleweshwa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natumai ni wazima, Wakuu naulizia duka la simu za iphone kwa hapa Dar, kwa sababu kuna wauzaji wengine "unaponunua simu kwao hujihisi comfortable" kwa mfano, Kuna hawa wauzaj wa iphone kwa bei...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Contact" 0659633720 Internal storage :32GB RAM : 3GB Android version :5.1 Primary Camera :16mp Secondary camera :5mp Price: 750000 TZs
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Zuri Kampuni ya Zuri ilio na makao yake mjini Hong Kong imezindua rasmi simu aina ya Smartphone katika soko la Tanzania.Kampuni hiyo pia imeisajili kampuni ya DESPEC kama msambazaji rasmi wa simu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya sekeli bei ni sh 250 million kiwanja kina ukubwa wa sqm 635
0 Reactions
0 Replies
4K Views
wapendwa Ni simu gani ya badget ya wastani around 300k yenye speed kubwa ...nina maanisha inayoweza kuongea skype bila shida (kama mtandao ni mzuri) na Betrii nzuri pia Asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
The building is now 70 percent complete and on track to be finished in ... When the house is complete, it will be sold for Tshs 300mil. The building have 4 bedrooms, 2 rooms en suite. To view call...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom