Salaam wadau...nauza TV aina ya Samsung 51 inches ambayo ina HDMI ports 2 na USB ports 2..Flat panel.Nimenunua kubwa zaidi so nauza hii.Bei 1m.Tv ipo Dar.karibuni na mawasiliano ni 0689900000
Nakutakia wateja wengi mkuu. Tanzania tuanze kuzoea kwamba kuna wakati mtu unauza ulichonacho ili ku-upgrade, na haina maana always kua kinachouzwa ni 'low-quality', muungeni mkono mdau hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.