Ndugu habari za jioni,
Ndugu naomba kujuzwa wapi naweza nikapata mashine ya kutobolea main pipe ya inchi moja nanusu kwajiri ya kuunganisha conectore za drip irrigation iwe ya kupres au kudril...
Tunauza helment, gumboots, rain coat, oversuit, Kofia, safety boots, overall, overcoat na vifaa vya Hardware na tunasambaza cement kwa jumla.
Bei ni nzur kwa maelezo zaid piga namba 0688121308...
Habari wana Jf. Nawashukuru sana niliwahi kuomba kusaidiwa kutafuta nyumba ya kupanga mwaka jana na nilipata vizuri.
Kwa sasa mdogo wangu naye amepangiwa kazi hapo Arusha. Bahati mbaya namba ya...
wakuu mambo vipi, nauza frij used kutoka usa, shida yake ni Gesi tu nakuruhusu kuja na fundi wako aliangalie.... unaweza kunicheck kwa namba 0624 116895
WAKUBWA NI MDA WA KUTUMIA UTANDAWAZI VIZURI KWA KUPIGA MKWANJAAA, MIMI NATOA HUDUMA YA KUUZA NA KUUNGANISHA ADSENSE ACCOUNT KWENYE BLOGS NA YOUTUBE KWA KIASI CHA ELFU KUMI TU PIA NAKUUNGANISHA NA...
Bei Milioni 6.5,Gari Ipo kwenye hali nzuri sana,ina vibali vyote na imetembea kilometer elf 90 tu..gari Ni full kipupwe.kwa mawasiliano piga Simu namba 0712 355025
NAUZA KIWANJA KILICHOPIMWA NA KINA HATI..
KIPO TUNGUU ZNZ KARIBU NA CHUO KIKUU, KIPO KATIKA MASTER CITY PLAN YA SERIKALI
MJI UMESHAJENGEKA VIZURI SANA KWA NYUMBA ZA KISASA..
BEI NI MIL 18 TU..
Habari ndugu zangu, nauza kiwanja chenye ukubwa wa ekari moja,kipo kigamboni Mwasonga opposite na sekandary ya kisalawe B. Ni cha kwangu mwenyewe,nauza kwakuwa ninashida ya ADA ya masomo,hakuna...
HABARI ZENU WAKUU: Kwa wale Wenye kutaka kununuwa Kanzu za kiume za Wakubwa na za watoto wamtafute Bi Faudhia bint Ibrahim mdogo wangu anazo kanzu nzuri sana na bei poa ukihitaji unaweza...
KITUO KIPO NJIA YA MLANDIZI KUTOKEA BAGAMOYO BARABARA IPO KATIKA HARAKATI ZA KUTIWA LAMI..BARABARA HIYO YOTE HAINA HUDUMA HIYO YA MAFUTA TAKRIBANI KM30..KITUO KIMEKAMILIKA KWA TAKRIBANI ASILIMIA...
Panasonic HDC-HS300. 3mos
1920 fullHD.
Inatumea HDD (120GB) ipo katika hali nzuri kabisa na inafanya kazi kama unavyoona katika pictures ipo na external mic, bag,2 batteries na original box .
ipo...
Wakuu habari za majukumu.
Bila ya kuchelewa wala nini,naomba tujikite kwenye mada hapo juu.
Harrier yenye specs zifuatazo inahitajika
1: colour "black or silver"
2: transimission "auto"
3: cc...
Wakuu nna Toyota RAV 4 ya mwaka 1998 nataka nibadilishane na mtu mwenye Toyota IST ya mwaka (2000-2003), kwa mwenye uhitaji huo tafadhali. Aidha kulingana na utofauti wa bei ntahitaji kuongezewa...