Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa gharama ya 15000 jifunze kushona vikapu uanze biashara yako
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Viwanja Vipya NHC Kigamboni Mwongozo Dongwe palm. square meter 750 adi 1600. Kilometer 17 toka ferry, nani mita 100 toka NHC housing pia ni mita 200 toka baharini. Bei ni 22,000 kwa sqm...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Salaam wadau...nauza TV aina ya Samsung 51 inches ambayo ina HDMI ports 2 na USB ports 2..Flat panel.Nimenunua kubwa zaidi so nauza hii.Bei 1m.Tv ipo Dar.karibuni na mawasiliano ni 0689900000
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanajamii Mchele safi grade A kutoka mbeya ukihitaji wa kyela upo, wa kamsamba upo bei ni nafuu kabisaaa 1900 kwa kilo. Mawasiliano 0653623408
1 Reactions
11 Replies
4K Views
1.Nahitaji zaidi ya kumi 2.Nipo Dar es Salaam(Riverside) 3.Weka hapa mawasiliano nikucheki. 4.Unaweza kunipigia au Whatsapp 0656608136
0 Reactions
2 Replies
12K Views
Hii ni site ambayo inampa uwezo mwanachuo kuuza au kununua vitu mbalimbali kama simu, radio, laptop, nguo nk mfan; unataka kuuza laptop yako unaingia kwenye site www.choushopping.com afu unaenda...
0 Reactions
1 Replies
934 Views
0652262797 nahitaji kutuma manual script (muswada) ya riwaya na tamthilia.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Husika na kichwa icho mwenye umiliki wake anicheki 0654879476
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Viwanja/plots a) Mbande Chamazi Mbagala - DSM 40ft X 50ft = 5,000,000/= b) Mbondole Ilala - DSM 40ft X 50ft = 3,000,000/= c) Tambani Mkuranga 50ft x 50 ft - Pwani = 3,000,000/= d) Msongola Ilala...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba msaada wadau kwa yeyote mwenye mayai ya kuku wa kienyeji pure tuwasiliane au anayefahamu mahali yanapopatikana kwa wingi anifahamishe iwe ni Dar au mikoa ya jirani.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Nahitaji mkopo mdogo wa dharura wa sh Laki 5 tu kwa riba ya 25 %. Niko dar Nina biashara active, niko Tayari kusainishana popote utakapotaka na dhamana nazoweka Ninazo.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukubwa: square meter 602 kilipo: Bweni JKT karibu na baharini Bei: maelewano mawasiliano: 0715570615/0754570615
0 Reactions
0 Replies
502 Views
nina vifaranga wa cku 4 chotara wa malawi nauza. kwa anayetaka kufuga nione sasa wakati ndio huu. pia napokea oda ya vifaranga aina mbalimbali kwa bei nafuu. kwa yeyote mwenye uhitaji 0658100001
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana JF naomba kwa mwenye database zenye contacts hasa hasa number za simu tuwasiliane kuongee kibiashara, naziitaji sana for marketing.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu naomba kama kuna mtu anaweza nifahamisha wapi naweza kununua chupa/kopo kuanzia mils 250. Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Nauza simu tajwa hapo. Tecno camon c8 kwa bei ya 200,000/= tu imetumika mwezi mmoja bado mpya kabisa. Sifa zake- Storage-GB16 CAMERA-5MP MBELE,13MP NYUMA INA FLASHLIGHT MBELE NA NYUMA RAM-1GB...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Tunauza mayai ya kuku wa kienyeji?(sio chotara) kutoka Iringa vijijini, Tray moja ni Tsh. 15000 Mayai yanapatikana siku za JUMAPILI NA JUMATANO Dar es salaam Mawasiliano: 0652 962908
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nauza Ipad 3 used mwenye uhitaji ani pm
0 Reactions
5 Replies
904 Views
Kiwanja (Urefu 40m*25m)kipo sehemu ya makazi yaliyojengwa kisasa.Umeme na maji vipo.Umbali wa Km 1 kutoka Bagamoyo Road.Nyaraka zote za umiliki kutoka serikali ya mtaa zipo.Mimi si dalali ni...
0 Reactions
1 Replies
758 Views
Wanandugu, mlio katika ndoa ambazo hazina uhakika kwa sababu ya kulegea kwa sehemu zenu za siri, karibuni dukani kwangu mwenge kitalu no 789! nauza bikira za kichina yani ukiibandika moja kwenye...
1 Reactions
37 Replies
14K Views
Back
Top Bottom