Simu Samsung S4 Active inauzwa

Tunkamanini

JF-Expert Member
Jul 18, 2014
377
93
Nauza simu yangu aina ya Samsung S4 Active bei Tshs 200K, inafanya kazi vizuri ila iko na cracks kwenye screen, naiuza sababu ninashida ya haraka na kiasi hicho cha fedha, mwenye uhitaji aniPM tafadhali.
 
Back
Top Bottom