popo1986 JF-Expert Member Joined Jul 30, 2014 Posts 1,120 Reaction score 373 Jun 30, 2016 #1 Wadau mm natafuta water pump nzuri isiwe ya bei ya kulangua sina kitu ndio naanza wakuu kama kunamtu anaeuza ani Pm au weka namba hapa nikutafute
Wadau mm natafuta water pump nzuri isiwe ya bei ya kulangua sina kitu ndio naanza wakuu kama kunamtu anaeuza ani Pm au weka namba hapa nikutafute
J jokielias JF-Expert Member Joined Dec 30, 2013 Posts 1,210 Reaction score 363 Jun 30, 2016 #2 Bajeti yako mwisho ngapi?? unatafuta pampu ya umeme?? au pampu ya petroli??
tawa driller JF-Expert Member Joined Dec 11, 2015 Posts 296 Reaction score 152 Jun 30, 2016 #3 Pampu unayoihitaji ni ile ya kuzamisha kwenye kisima au ni ile ya nje ya kisima...nitafute kwa simu namba 0655541948
Pampu unayoihitaji ni ile ya kuzamisha kwenye kisima au ni ile ya nje ya kisima...nitafute kwa simu namba 0655541948
H handsome2 Senior Member Joined Mar 22, 2016 Posts 106 Reaction score 60 Jun 30, 2016 #4 Nenda ilala boma kwa farida utapata doyin hp 1.5 kwa laki nne tu,epukana na vitu vya uchochoroni