Waliotumia hii naomba mnipe mrejesho

Waliotumia hii naomba mnipe mrejesho

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
23,372
Reaction score
55,039
Naombeni kujua kwa wale waliobahatika kutumia hiki kinywaji kinafanya kazi vyema?

1469379794462.jpg
 
Achana na kemikali zitakuua mkuu..tumia tiba asili baba
 
kunajiran yangu katumia ila kisukar na high B/P bado vinamsumbua
 
Njoo Tukimbie Mchakamchaka Maisha Yasonge
Usilee Mwili Ukawa Na Kitambi Kama Mamelod Yule Wa Fifa
 
Back
Top Bottom